Kesi ya ndege ya ATCL inayoshikiliwa Afrika Kusini kuanza kuunguruma leo nchini humo

Ndege sio kama gari kwamba utaangalia mbele ukate kona bali inaongozwa na watu wa tower waliopo ardhini kumwambia aende juu kiasi gani ili asigongane na ndege zingine sasa ataruka vipi wakati hatopewa ushirikiani
Mkuu awamu hii kila lisilowezekana litawezekana, hukuona jiwe alimpa kitita cha 10 million?😂..
Kuna watu awamu hii wako tayari hata kuua alimradi sifa ya Jiwe iendelee kuwepo.
 
Unaposema mawakili mahiri una maana gani? Kwamba kuna matuamini wataweza kuzitetea?

Natamani mahakama iamuru ndege zichomwe moto na tusilipwe fidia.
 
MI NASHAURI HILI
MAWAKIL WA SERIKAL WAKUBALI KULIPA DENI ALAFU ATCL WAFUNGUE KESI DHIDI YA ALIETOA AGIZO LA KUKAMATA NDEGE HIYO , WADAI FIDIA YA NDEGE HIYO KUYOFANYA SAFARI ZAKE , WAWAPIGIE HESA ROOT ZA KWENDA SAUZ IKIWA IKOFULL SIT, KUNA WAHUDUMU WANALIPWA, KUNA WAOSHAJI WANALIPWA KILA IKIRUDI, KUNA MAFUNDI WANAOLIPWA KWA KUIKAGUA NA SERVICE, HUO MUDA IPO UKO. ATCL IDAI FIDIA KUBWA KULIKO WANAOTUDAI SISI SASA HAPO IWEKE KILA SIKU IMEZUIWA BASI IWEKE DENI NA RIBA HAPO TUTAOGOPEKA MALI ZA NCHI KUKAMATWA OVYO. NA HUYU MDAI ATACHEK PESA ANALIPWA NA PESA ATALIPA ATCL NI KUBWA ZAID ATAHOFIA HASARA. 🚶🚶🚶🚶🚶🚶
 
Kesi ya ndege ya ATCL ambayo inashikiliwa nchini Afrika ya kusini inaanza kusikilizwa leo.

Serikali ya Tanzania imetuma mawakili mahiri kwenda nchini humo kuiwakilisha kwenye utetezi wake.

Source Mtanzania
Mungu ibariki Tanzania!
kinachohitajika kule si mawakili mahiri; kinachohitajika ni kulipa deni.
 
Hebu yachukue yale maneno ya mkuu wa mkoa wa mbeya na uyaelekeze kwa serikali ya Tanzania kuhusu hii kesi nikama tumewayataka wenyewe kurushia mawe mzungu ajuza!

Ni aibu kwa nchi kudaiwa na mtu m1 miaka yoye hiyo.
 
Ngoja niwahi kiti hapa Mahakamani
1567147879469.png
1567147879469.png
 
Kesi ya ndege ya ATCL ambayo inashikiliwa nchini Afrika ya kusini inaanza kusikilizwa leo.

Serikali ya Tanzania imetuma mawakili mahiri kwenda nchini humo kuiwakilisha kwenye utetezi wake.

Source Mtanzania
Mungu ibariki Tanzania!
Hamna haja hata ya kupeleka wanasheria waliobobea kwa kuwa suala liko straight forward. Mwanasheria wa Steyn Roger Wakefield anasema ndege itaruhusiwa tu ikiwa deni litalipwa au dhamana ya benki itawekwa. Nanukuu hapa kwa maneno yake;

"The farmer has been fighting for years to get the outstanding amount. He was then declared a prohibited immigrant in Tanzania on what his lawyer called “baseless grounds”, and he now lives in another East African country.

The farmer approached lawyers in South Africa, which is party to an international convention on the recognition and enforcement of foreign arbitration awards.

“Literally after decades of broken promises, promises to pay, acknowledging the indebtedness, the plaintiff was left with no option,” Wakefield said.


He said the plane was seized “to certify a long outstanding debt to the plaintiff, which the government of Tanzania has always acknowledged was owing but they just breached their undertaking”.

“The only way that the aircraft can now be released is if they pay the debt or if they put up security for the claim.”
 
MI NASHAURI HILI
MAWAKIL WA SERIKAL WAKUBALI KULIPA DENI ALAFU ATCL WAFUNGUE KESI DHIDI YA ALIETOA AGIZO LA KUKAMATA NDEGE HIYO , WADAI FIDIA YA NDEGE HIYO KUYOFANYA SAFARI ZAKE , WAWAPIGIE HESA ROOT ZA KWENDA SAUZ IKIWA IKOFULL SIT, KUNA WAHUDUMU WANALIPWA, KUNA WAOSHAJI WANALIPWA KILA IKIRUDI, KUNA MAFUNDI WANAOLIPWA KWA KUIKAGUA NA SERVICE, HUO MUDA IPO UKO. ATCL IDAI FIDIA KUBWA KULIKO WANAOTUDAI SISI SASA HAPO IWEKE KILA SIKU IMEZUIWA BASI IWEKE DENI NA RIBA HAPO TUTAOGOPEKA MALI ZA NCHI KUKAMATWA OVYO. NA HUYU MDAI ATACHEK PESA ANALIPWA NA PESA ATALIPA ATCL NI KUBWA ZAID ATAHOFIA HASARA. 🚶🚶🚶🚶🚶🚶
.

Wakikubali kulipa maana yake wamekubali kosa na kwa maana hiyo hawawezi ku counter sue. Na hizo hesabu zako unazopiga lazima ziwe justifiable. Hesabi ya full bums on seats inategemea na historical figures za wakati unao.ongelewa hutungi tu hesabu zako kutoka kichwani.
 
Mahakama za SA ni mhimili unaojitegemea(huru).Hivyo nasi twafaham wazi bila rongorongo ni kweli tunadaiwa, kama kweli tunadaiwa basi tuseme "dawa ya deni kulipa" hakuna janja janja. Mwisho Lugha ya Malkia nayo itatuangusha.
 
Hamna haja hata ya kupeleka wanasheria waliobobea kwa kuwa suala liko straight forward. Mwanasheria wa Steyn Roger Wakefield anasema ndege itaruhusiwa tu ikiwa deni litalipwa au dhamana ya benki itawekwa. Nanukuu hapa kwa maneno yake;

"The farmer has been fighting for years to get the outstanding amount. He was then declared a prohibited immigrant in Tanzania on what his lawyer called “baseless grounds”, and he now lives in another East African country.

The farmer approached lawyers in South Africa, which is party to an international convention on the recognition and enforcement of foreign arbitration awards.

“Literally after decades of broken promises, promises to pay, acknowledging the indebtedness, the plaintiff was left with no option,” Wakefield said.


He said the plane was seized “to certify a long outstanding debt to the plaintiff, which the government of Tanzania has always acknowledged was owing but they just breached their undertaking”.

“The only way that the aircraft can now be released is if they pay the debt or if they put up security for the claim.”
Mimi naamini sharti moja kubwa kuliko yote ni kurejeshewa immigration status yake na kama hajaidai hiyo basi atakuwa either stupid or he is dreading the uknown!
 
Back
Top Bottom