Sexer
JF-Expert Member
- Oct 22, 2014
- 8,431
- 8,138
Nipo Mahakama ya Kisutu muda huu
Nasubiri kupandishwa kizimbani kuendelea na kesi yangu ya Cybercrime niliyofunguliwa kipindi cha Uchaguzi mkuu 2015..
Asante sana wakili msomi Peter Kibatala, Mungu atabariki karama yako na ataibariki kazi ya mikono yako.
UPDATES
Kesi imeahirishwa hadi 04/07/2016, sababu za kuahirishwa nikutoka na hakimu anayesikiliza kesi hii kuwa na udhuru.
Haki ya mwenye haki haijawahi kupotea, bali hucheleweshwa tu....
Nasubiri kupandishwa kizimbani kuendelea na kesi yangu ya Cybercrime niliyofunguliwa kipindi cha Uchaguzi mkuu 2015..
Asante sana wakili msomi Peter Kibatala, Mungu atabariki karama yako na ataibariki kazi ya mikono yako.
UPDATES
Kesi imeahirishwa hadi 04/07/2016, sababu za kuahirishwa nikutoka na hakimu anayesikiliza kesi hii kuwa na udhuru.
Haki ya mwenye haki haijawahi kupotea, bali hucheleweshwa tu....