Dah! Umenikumbusha mbali sana, hivi wale waliopitisha makontena bila kodi katika ICD's wameaharudisha zile pesa zote kama ilivyoamriwa?Bwana we hii ndiyo Tanzania.
Nini mpemba, kuna hawa hapa.
1. Masamaki
2. Milioni saba kwa dakika
3. Musa Naty na ishu ya coco
4. Mkurugenzi wa mishahara kumi na saba kwa mwezi
Leo serikali wanamkomalia mwalimu aliyekwenda kusoma bila ruhusa eti alipe mishahara yote aliyolipwa wakati yupo masomoni.
Kama hao ndiyo wenye nchi, sasa sisi akina nani!!!!?Hajafika mahakamaani ndio yuko njiani
Hao ndio wenye nchi achana na porojo za siasa
Wapangaji tuuu hamna impact yyt labda wakati wa uchaguziKama hao ndiyo wenye nchi, sasa sisi akina nani!!!!?
Tunaamini nasisi tutakuwa matajiri kwa kuwachukia matajiri kwahiyo MTU akitumbuliwa tunahisi atarudi kula kipande cha hindi la kuchoma kkooWatanzania tuna shida moja tu, yani pale mtu ametumbuliwa tunafurahi kweli kweli lakini hatuna haja ya kufahamu mwendelezo wake baada ya hapo
Bwana we hii ndiyo Tanzania.
Nini mpemba, kuna hawa hapa.
1. Masamaki
2. Milioni saba kwa dakika
3. Musa Naty na ishu ya coco
4. Mkurugenzi wa mishahara kumi na saba kwa mwezi
Leo serikali wanamkomalia mwalimu aliyekwenda kusoma bila ruhusa eti alipe mishahara yote aliyolipwa wakati yupo masomoni.
Kesi yake imefikia wapi?Masamaki alipelekwa kwa MBWEMBWEEEE
sijui na wala haiskikiKesi yake imefikia wapi?