Breaking News:Kesi ya Mbagala
ya kuvunja makanisa
yafutwa.Ilikuwa for PH na
prosecution wameshindwa
kukamilisha upelelezi ndani ya
siku 60 na hawaku-file certificate
ya kuomba further
adjournment.Washtakiwa wote
15 wako huru as per sect.225(5)
CPA.......60 days Rule people
Acheni ushabiki.Waendesha mashitaka wamefanya uzembe pamoja na kuwa hawa jamaa walikuwa na kesi kubwa ya kujibu. Ni swala la procedure tu na hawa jamaa siku si nyingi wataletwa tena mahakamani kwa makosa haya haya.Someni sheria kwanza na sio mambo ya takbir....
Acheni ushabiki.Waendesha mashitaka wamefanya uzembe pamoja na kuwa hawa jamaa walikuwa na kesi kubwa ya kujibu. Ni swala la procedure tu na hawa jamaa siku si nyingi wataletwa tena mahakamani kwa makosa haya haya.Someni sheria kwanza na sio mambo ya takbir....
....LATEST NEW: 10 kati ya watuhumiwa 15 walishikwa tena na polisi na taratibu za kuwaandikia upya mashitaka zinafanyika.I'm amazed that Tanzania media up to this time haven't reported on this news....!
Ni kweli cz ili ujue taratibu za Mahakama ni lazima uwe mdau aidha mwanazuoni wa sheria au habitual offender unaejifunza kwa uzoefu wa uhalifu wako lakini ki ujumla hili suala liko handled kisiasa hawalichukulii serious ili ku please baadhi ya watu wenye imani flani ni upumbavu
....LATEST NEW: 10 kati ya watuhumiwa 15 walishikwa tena na polisi na taratibu za kuwaandikia upya mashitaka zinafanyika.I'm amazed that Tanzania media up to this time haven't reported on this news....!