Kesi ya mauaji ya Mfanyabiashara wa madini Mtwara inaendeleaje?

Marco Polo

JF-Expert Member
Jan 16, 2014
9,037
12,599
Kijana inasemekana aliuwawa na maa afsa wa Jeshi la polisi ambao wengi walikamatwa na kufunguliwa mashtaka mahakamani.

Napenda kujua hii kesi iliishia wapi maana sijisikii ikiripotiwa sehemu yeyote.
 
Hutaki haki itendekeke wewe ungejua hatua iliyo fikiwa kuwa serious na mambo serious acha utoto
 
Back
Top Bottom