Red Scorpion
JF-Expert Member
- Feb 1, 2012
- 5,736
- 4,252
Umekaa unatafakari Deni la Kodi ya nyumba, Umeme umeisha, Gesi ya kupikia imeisha, Njaa inapiga jaramba Tumboni, Simu haina vocha, Umejaribu kukopa kwenye Mtandao unajibiwa unadaiwa hujalipa Deni., Umetuma ujumbe kwa Marafiki hakuna aliyekujibu Ghafla inaingia,sms kwenye,simu yako. Kwa shauku unaifungua huku ukiomba Mungu iwe ya Rafiki yako katuma pesa ya kukutoa kwenye Mtihani huo. Mara unakutana na ujumbe huu.
"Mpendwa nakukumbusha Mchango wa Harusi ya kijana wetu Mpendwa, Tarehe zimekaribia."
Yaani hapo ndipo unapoweza kupata kesi ya Makosa ya Mtandao
♂♂♂
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
"Mpendwa nakukumbusha Mchango wa Harusi ya kijana wetu Mpendwa, Tarehe zimekaribia."
Yaani hapo ndipo unapoweza kupata kesi ya Makosa ya Mtandao
♂♂♂
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app