bob_fundi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2025
- 447
- 690
Habari za wakati huu wanajamvi! .
Naomba msaada wa kisheria au kimawazo . Mm hapa nilikuwa nimepangisha chumba lakn kwa bahati mbaya tulivunja mkataba na mwenye nyumba kabla ya kumaliza kodi yangu.
Na hiyo ilitokana na yey kutofanya mambo ambayo tumekubaliana kama kufanya marekebisho ya chumba ambacho nilikuwa ndio nimesha hamia huku/na ishi hapo .
Kodi nilikuwa na lipa kwa miez 6 .na mwez 1 ulukuwa ni 150K kwa hiyo nililipa 900k lakn nilikaa miez 2 mpaka kufikia kuvunja mkataba.
Ambapo nilikuwa nimeshatumia takribani 300k ikawa imebaki 600k kwenye kodi ya miez 6
Aliomba rudishe laki tatu kwanza then atamalizia nyingine baada ya muda,niligoma kwa hiyo njia akasema,sema,twende serikali,za,mitaa tulienda tukaandikishiana hapo .
Lakn muda wa deni kulipa lile deni ulipo fika,aliendele kunizungusha mpk leo bado sija pata ela yangu .alinilipa,tu 300k na bado na dai 300k .
Niliwasiliana na mtendaji lakn pia lakn aikuzaa matunda yeyote ,nikaenda polisi lakn bado sikupata,msaada wowote
OMBI LANGU NAOMBENI KWA ANAYEJUA,AU MWENYE UZOEFU NA KESI ZA MADAI WAPI NATAKIWA KWENDA ILI NIPATW HAKI YANGU IMECHUKUA MWAKA MZIMA NAZUNGUSHWA TU KILASEHEMU NINAPO KWENDA .ASANTENI
Naomba msaada wa kisheria au kimawazo . Mm hapa nilikuwa nimepangisha chumba lakn kwa bahati mbaya tulivunja mkataba na mwenye nyumba kabla ya kumaliza kodi yangu.
Na hiyo ilitokana na yey kutofanya mambo ambayo tumekubaliana kama kufanya marekebisho ya chumba ambacho nilikuwa ndio nimesha hamia huku/na ishi hapo .
Kodi nilikuwa na lipa kwa miez 6 .na mwez 1 ulukuwa ni 150K kwa hiyo nililipa 900k lakn nilikaa miez 2 mpaka kufikia kuvunja mkataba.
Ambapo nilikuwa nimeshatumia takribani 300k ikawa imebaki 600k kwenye kodi ya miez 6
Aliomba rudishe laki tatu kwanza then atamalizia nyingine baada ya muda,niligoma kwa hiyo njia akasema,sema,twende serikali,za,mitaa tulienda tukaandikishiana hapo .
Lakn muda wa deni kulipa lile deni ulipo fika,aliendele kunizungusha mpk leo bado sija pata ela yangu .alinilipa,tu 300k na bado na dai 300k .
Niliwasiliana na mtendaji lakn pia lakn aikuzaa matunda yeyote ,nikaenda polisi lakn bado sikupata,msaada wowote
OMBI LANGU NAOMBENI KWA ANAYEJUA,AU MWENYE UZOEFU NA KESI ZA MADAI WAPI NATAKIWA KWENDA ILI NIPATW HAKI YANGU IMECHUKUA MWAKA MZIMA NAZUNGUSHWA TU KILASEHEMU NINAPO KWENDA .ASANTENI