Jamani acheni uongo,uzushi, na kuropoka.. kwani lazima upost? Sema kama ni hisia zako,sawa.Usiconclude.
Lulu yupo Segerea,kaupokea mwaka mpya Segerea. Wenye mapenzi mema dua zenu zinahitajika,katika kipindi hiki cha kesi yake akiwa gerezani,na hata atakapopata dhamana..
Na maisha yake baada ya hapo..