Geeque
JF-Expert Member
- Aug 17, 2007
- 936
- 316
Well, simo bado ni lile lile - WATU na MAZINGIRA..mlitegemea kitu gani nyie mnaozungumzia sheria ktk mazingira ya Kiafrika..
Binafsi nilitegemea hili kutokea laa sivyo kuendelea kuhonga mahakimu na wengine kutumia wa wachawi kutafuta viungo vya watu ili kesi zizimike, ndio option zilizopo..
Nina hakika hata hao walioko nje kina Mramba wanajishughulisha na moja ya hayo hapo juu, sheria na haki haiwezi kusimama kwa Wadanganyika.. kwani NDIVYO TULIVYO!
Ndio hata mimi nashangaa hapa watu wanapojifanya kushangazwa.
Watanzania wamesharidhika na hali halisi ya ile nchi, tunapoteza muda tu hapa kupiga kelele wakati wananchi wenyewe wanaona kila kitu pouwaaa tu.