Mahakimu wengi hawapendi kujisomea hata kuangalia hata movies za kisheria walau wapate cha kujifunza ktk maamuzi yao mahali pa kazi, huyu mama hana mume wala mtoto, hivyo hana hata wa kumshauri tu kiubinadamu. Kuna ka series fulani multchoice kanaitwa boston legal pale unawaona akina allen na dan crane wakitunishana misuli na majaji/mahakimu kimaigizo but kuna some practisable fact ktk mienendo ya kesi, pccb wame raise figure ile as ndio yote imeliwa na hakimu hajitumi kui study ili ajue kama washitaki wameshafanya homework yao vizuri yeye anakomalia 50bil kama dhamana, nadhani hii ilikuwa ni dhamana ghari kuliko yote ktk nchi yetu, hata kama sheria inaruhusu lakini mh.hakimu anapaswa atambue kuwa twin towers ziko pale tayari ni mali ya nchi na siyo liyumba hivyo alipaswa ku seek maelezo toka kwa pccb ktk exactly amount imekuwa swallowed na al, au asimamishe kusikiliza maombi ya dhamana na kuomba muongozo wa jambo hili kwa mkuu wake jaji wa kanda, huko wangeliangalia hilo kwa usaidizi wa dpp na pccb na charge sheet ingeletwa ikiwa ina sura inayofanana na ukweli, mh.hakimu alifurahia kuingia ktk rekodi mpya ya dhamana bila kutafakari gharama za rekodi hiyo in future, huo ni uzembe na kiburi cha ujuaji.
Upande wa pili ni mawakili prof. Mgongo fimbo na timu yake nao wamemfikisha ametus liyumba hapo un reasonably, hawakua act professionally kumsaidia mteja wao bali waling'ang'ania ubabe na kujulikana wakati walichohitaji ni hekima na tafakuri nzito ya kisheria pale mnapoingia ktk rekodi mpya bail kwa mteja.
Tuombe mungu jambo hili liende salama ila ninakiri kuwa alichosema mwanakijiji kina 50% ukweli, hakuwa na nia ya kutoroka bali kujidhuru na ndio maana kuna uwezekano mkubwa leo akaletwa tena mahakamani kama jaribio la jana waungwana waliweza kumtuliza na kumwelesha.
Bi hadija alipaswa ku seek technical advise toka jaji wake incharge baada ya kugundua makosa aliyoyafanya, hakufanya siku hiyohiyo, aliondoka zake na kuzima simu mpaka media ilipomuandama na mahakama kuu nayo kuliona hilo haraka, next day akatoa arrest warranty na ku detain wadhamini, tukiri tu kuwa amechemsha sana na wala wanasiasa wasiingizwe hapo.