Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 7,979
- 13,631
Mahakama kuu kanda ya mashariki imetupilia mbali mashtaka yaliyoletwa na Abubakar Assenga (ccm) ndhidi ya Peter Lijualikali. Asenga alikuwa akipinga ushindi wa mbunge wa kilombero peter Lijualikali baada ya kutangazwa mshindi kwrnye uchaguzi mkuu mwezi November mwaka jana.