mhalisi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 1,181
- 320
wadau nakumbuka mara baada ya kuisha kwa uchaguzi mkuu wa mwaka 2010, aliyekuwa mgombea ubunge wa jimbo la tarime mjini kupitia chadema, ndugu mwita mwikabe waitara alifungua kesi ya kupinga ushindi wa ubunge wa ndugu nyambari nyangwine. Kwa muda mrefu sasa sijajua maendeleo ya kesi hii. Yeyote mwenye taarifa juu ya kesi hii naomba atujuze.