kifinga
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 5,249
- 9,499
Malya mshkaji wangu alikua mtata sana enzi hizo tunasoma chuo Tumaini kurasini ha ha ha ha ha ha na ka mwili kake hanenepi kama albert MsandoMALYA: Vituo vya kupiga kura vilikuwa vingapi?
SSP Ngichi: Sikumbuki idadi yake
MALYA: RCO unasimamiaje uchaguzi ambao hujui hata idadi ya vituo?
Ni sawa na kumtaka mwanafunzi (STD VII, F4, F6, UE nk.k) ajue wanafunzi wanaofanya mtihani ni wangapi.
"These qn even if are not answered, they do not go to the root of the case"