Kesi ya Kibanda mahakamani Kisutu

Kesi ya Kibanda mahakamani Kisutu

ndevu mzazi

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2011
Posts
687
Reaction score
238
Habari zilizopatikana kutoka Mahakama ya Kisutu zinasema tayari Kibanda ameshafikishwa mahakamani hapo tayari kwa kuunganishwa katika shitaka alilofunguliwa mwenzake Samson Mwigamba.
 
wenye updates watupatie.

Ikumbukwe:

jana kesi iliahirishwa mpaka leo,ambapo ililazimu kuwepo kwa dhamana tena ya sh milioni tano za tanzania.
Ukiachana na dhamana ya mara ya kwanza aliyowekewa na Kubenea.

Nawasilisha.
 
pole sana waandishi mloupande wa wananchi.watatesa miili yenu na kuifunga lakini mtabaki huru sana katika dhamiri zenu.kinyume ni kuwa wao japo miili yao iko huru wanaiba kula na kubeua hata kuwakamata nyinyi, dhamira zao haziko huru na wako kifungoni kwani kila siku wanakumbuka watu ambao wamewatesa kwa chuki binafsi,wa kwanza kabisa ni babu seya
 
mungu ndie ajuae kesho ila watawala we2 mwishi wao huko karibu cha muhimu ni utulivu na amani 2
 
atleast journalism inaanza kushamiri Tanzania kutoka kwenye stage ya lapdog journalism-ambayo unapewa habari kutoka ikulu na kuipeleka kama ilivyo bila kuliza maswali huko tumetoka isipokuwa magazeti ya serikali ndiyo yapo yananyata.

Sasa hivi journalism ninayoiona tanzania ni watchdog journalism waandishi wanafanya utafiti kiasi lakini bado hawajaanza kuingia kwenye personal life, kama kweli rais alinunuliwa suti, au ni kweli alikuwa hooker pale hotel nyota tano.

Tutakapofikia junkyard dog journalism ndiyo uhuru wa habari utakuwa umefika mahali pake personal life will not left unturn......vimada wote watakuwa wanamlikwa.

trust me we will get very soon!
adios amigos/amigas!
 
Watawala wawe tayari kuambiwa na ya upande wa pili kwamba wameboronga.

Huku kuwafungulia mashtaka waandishi na wahariri ni ishara tosha kuwa hawapendi kusahihishwa. Wakati umefika watu wasimame kupinga udhalimu na uonevu wa namna hii. Mungu ibariki Tanzania inayoheshimu uhuru wa habari.
 
Watawala wawe tayarii kuambiwa na ya upande wa pili kwamba wameboronga. Huku kuwafungulia mashtaka waandishi na wahariri ni ishara tosha kuwa hawapendi kusahihishwa.

Wakati umefika watu wasimame kupinga udhalimu na uonevu wa namna hii. Mungu ibariki Tanzania inayoheshimu uhuru wa habari.
Sielewei watu wengine mnafikiri kwa kutumia nini. Ingekuwa serikali imelifungia hilo gazeti hata mimi nisingeunga mkono. Lakini kilichofanyika ni kufungua mashtaka mahakamani ambayo ni haki ya kila mmoja.

Hivi mimi nikikufungulia mashtaka kwamba umetembea na mke wangu wakati si kweli tatizo lako ni nini? Mahakamama itaangalia kesi na itakosa ushahid na wewe utaibuka mshindi na mimi nitabaki na aibu.

Binafsi nimeisoma makala nzima iliyosaabisha haya. Nimesoma na madaiya serikali ni kwamba Mwigaba amewashawihi askari kugoma kutii mamlaka halali.

Kama umesoma makala ile utaona kwamba Mwigaba hajachochea mgomo kwa amri halali. Bali ameeleza jinsi askari wanavyonyanyaswa na hivyo msingi wa makala ile ni kupinga mnyanyaso. Kitu ambacho ni sahihi maana hakuna askari aliyeapa kunyanyaswa.

Hivyo, binafsi ninaona kwamba Mwigamba, Kibanda na gazeti la TANZANIA DAIMA wataibuka kidedea katika kesi hii.Hili sna wasiwasi nalo kabisa, kuliko kama wangelifungia kama walivyofanya la Kubenea.
 
atleast journalism inaanza kushamiri Tanzania kutoka kwenye stage ya lapdog journalism-ambayo unapewa habari kutoka ikulu na kuipeleka kama ilivyo bila kuliza maswali huko tumetoka isipokuwa magazeti ya serikali ndiyo yapo yananyata.

Sasa hivi journalism ninayoiona tanzania ni watchdog journalism waandishi wanafanya utafiti kiasi lakini bado hawajaanza kuingia kwenye personal life, kama kweli rais alinunuliwa suti, au ni kweli alikuwa hooker pale hotel nyota tano.

Tutakapofikia junkyard dog journalism ndiyo uhuru wa habari utakuwa umefika mahali pake personal life will not left unturn......vimada wote watakuwa wanamlikwa.

trust me we will get very soon!
adios amigos/amigas!


Hasta luego!
 
Kwenye hilo shauri kama vile namwona kamishana Chagonja akishinikiza, maana jamaa yule hajiamini kabisa, na hakika kabobea kuilinda ccm,rejea hata sakata la Tarime na maiti zile,makubaliano aliyoyafanya na famiilia za marehemu na viongozi wa cdm ilkuwa tofauti na maamuzi yaliyochukuliwa na polisi hours later kwenda kuiba maiti mochwari
 
Unadhani serilkali imeamka tu leo na kusema tunafungua mashitaka dhidi ya kibanda la hasha, wana kamati ya ufundi wenzako! usipomwangiwa tindikali!!, usalama wa taifa wanageuka majambazi, si hivyo tu mahakama kuu yuko othmani!! ukienda usalama ni othmani usidhani hii bahati tu imetokea, polisi said mwema ukijumlisha yote haya salama yako iko kutoka shinikizo na wafadhili wa nje....you walking dead.
roba politician todo no bueno.
Viva Africa oriental, viva la Tanzania.






Sielewei watu wengine mnafikiri kwa kutumia nini. Ingekuwa serikali imelifungia hilo gazeti hata mimi nisingeunga mkono. Lakini kilichofanyika ni kufungua mashtaka mahakamani ambayo ni haki ya kila mmoja.

Hivi mimi nikikufungulia mashtaka kwamba umetembea na mke wangu wakati si kweli tatizo lako ni nini? Mahakamama itaangalia kesi na itakosa ushahid na wewe utaibuka mshindi na mimi nitabaki na aibu.

Binafsi nimeisoma makala nzima iliyosaabisha haya. Nimesoma na madaiya serikali ni kwamba Mwigaba amewashawihi askari kugoma kutii mamlaka halali.

Kama umesoma makala ile utaona kwamba Mwigaba hajachochea mgomo kwa amri halali. Bali ameeleza jinsi askari wanavyonyanyaswa na hivyo msingi wa makala ile ni kupinga mnyanyaso. Kitu ambacho ni sahihi maana hakuna askari aliyeapa kunyanyaswa.

Hivyo, binafsi ninaona kwamba Mwigamba, Kibanda na gazeti la TANZANIA DAIMA wataibuka kidedea katika kesi hii.Hili sna wasiwasi nalo kabisa, kuliko kama wangelifungia kama walivyofanya la Kubenea.
 
Kesi imeahirishwa hadi january 19 na Kibanda yuko nje kwa dhamana.
 
Unajua wanajamii nashindwa kuwaelewa kabisa wengi wetu,jana na juzi Kibanda 2limsema jamaa mganga njaa tu hana lolote mara hivi mara mchumia 2mbo na leo 2namuona shujaa, anapigania maslahi ya wananchi dhidi ya madhila ya Dola aaah wadanganyika unafki uta2maliza 2cwe kama upepo.
 
Unadhani serilkali imeamka tu leo na kusema tunafungua mashitaka dhidi ya kibanda la hasha, wana kamati ya ufundi wenzako! usipomwangiwa tindikali!!, usalama wa taifa wanageuka majambazi, si hivyo tu mahakama kuu yuko othmani!! ukienda usalama ni othmani usidhani hii bahati tu imetokea, polisi said mwema ukijumlisha yote haya salama yako iko kutoka shinikizo na wafadhili wa nje....you walking dead.
roba politician todo no bueno.
Viva Africa oriental, viva la Tanzania.

wote waislamu rais,mkuu wa usalama taifa na mkuu wa polisi teh teh
 
Sielewei watu wengine mnafikiri kwa kutumia nini. Ingekuwa serikali imelifungia hilo gazeti hata mimi nisingeunga mkono. Lakini kilichofanyika ni kufungua mashtaka mahakamani ambayo ni haki ya kila mmoja.

Hivi mimi nikikufungulia mashtaka kwamba umetembea na mke wangu wakati si kweli tatizo lako ni nini? Mahakamama itaangalia kesi na itakosa ushahid na wewe utaibuka mshindi na mimi nitabaki na aibu.

Binafsi nimeisoma makala nzima iliyosaabisha haya. Nimesoma na madaiya serikali ni kwamba Mwigaba amewashawihi askari kugoma kutii mamlaka halali.

Kama umesoma makala ile utaona kwamba Mwigaba hajachochea mgomo kwa amri halali. Bali ameeleza jinsi askari wanavyonyanyaswa na hivyo msingi wa makala ile ni kupinga mnyanyaso. Kitu ambacho ni sahihi maana hakuna askari aliyeapa kunyanyaswa.

Hivyo, binafsi ninaona kwamba Mwigamba, Kibanda na gazeti la TANZANIA DAIMA wataibuka kidedea katika kesi hii.Hili sna wasiwasi nalo kabisa, kuliko kama wangelifungia kama walivyofanya la Kubenea.
Hata kama wataibuka washindi vp kuhusu muda wao waliopotezewa?
 
Unajua wanajamii nashindwa kuwaelewa kabisa wengi wetu,jana na juzi Kibanda 2limsema jamaa mganga njaa tu hana lolote mara hivi mara mchumia 2mbo na leo 2namuona shujaa, anapigania maslahi ya wananchi dhidi ya madhila ya Dola aaah wadanganyika unafki uta2maliza 2cwe kama upepo.
Hata mi nashangaa,mara kanunuliwa na Lowassa,ila jibu limeshapatikana kua yupo upande gani wa coin.
 
Back
Top Bottom