Mie nilidhani una habari kumbe unatafuta habari!
Mie nilidhani una habari kumbe unatafuta habari!
Mie nilidhani una habari kumbe unatafuta habari!
taifa lina majonzi ya kufiwa na wenzetu zaidi mia moja,we unatuletea makengeza yako hapa,hebu jieshimu basi ndugu.
usiongee kwa sauti, ninong'oneze Makinda yasitusikie yasije yakaturipoti kwa makinda
Wakuu heshima!!
Namiulizeni mnijuze hivi kesi ya mkenya wa kova anayetuhumiwa kumteka na kumtesa dr. Ulimboka itatajwa lini na iko mbele ya hakimu gani?
Kwa kuwa kesi hii ina mvuto kwa jamii tunaomba wanahabari siku ya kesi watupigie picha mtuhumiwa huyo tumtie nuruni,
According to Kova a.k.a mzee wa matukio, iko kisutu kwa Agness Mchome.... yule mama alosaini kumnyang'anya mwanamke mwenzake mtoto wa miezi miezi 4 kwa kisingizio cha kuwa ni mwehu bila hata kuona cheti cha daktari kinachothibitisha hilo!!!