Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Kesho Jumanne tarehe 04/07/2017 majira ya saa 3:00 asubuhi; Mh GODBLESS J LEMA (MB) Arusha Mjini atakuwa Mahakama Kuu Masjala ndogo ya Arusha kusikiliza rufaa ya pingamizi la awali (PO) lililowekwa na Mawakili wake katika Kesi ya Jinai Na 351 2016/Criminal Appeal No.351: JAMHURI DHIDI YA GODBLESS J LEMA. (Ile kesi ya kumtumia RC Gambo ujumbe mfupi wa sms kwamba tutakudhibiti kama Mashoga wanavyodhibitiwa Dubai)
Tunaomba tujitokeze kwa wingi Mahakamani kumpa support Mbunge wetu.
Imetolewa na;
OFISI YA MBUNGE,
JIMBO LA ARUSHA MJINI,
S.L.P 16531,
ARUSHA-TANZANIA.
Tunaomba tujitokeze kwa wingi Mahakamani kumpa support Mbunge wetu.
Imetolewa na;
OFISI YA MBUNGE,
JIMBO LA ARUSHA MJINI,
S.L.P 16531,
ARUSHA-TANZANIA.