surubu kwetu
Member
- May 13, 2014
- 59
- 12
Ndugu zangu naomba kujuzwa kesi ya dowans kwa yoyote anayeijua imefikia wapi au tumekwisha walipa maana swala la dowans limekuwa kimya uwenda wamekwisha wapa rushwa wabunge ili walizime tujuzane ndugu kwa mwenye taarifa