BIGstallion
JF-Expert Member
- Sep 13, 2016
- 6,324
- 7,919
Wafukuzwe tuu eheeee acha wee , hao watu wapo kimkataba. Uwezi kufukuza kampuni kama Acacia kama unamfukuzisha kazi shamba boy,
Umeongea pointNIMEIOKOTA SEHEMU: Kuna sababu za msingi hapa serikali ishaurike!Huyu ameshauri hivi:
Huenda uchunguzi wa madini ndani ya mchanga ukaishia kuwa swala la JPM kutafuta sifa tu na usiwe na manufaa kwa umma kwa sababu zifuatazo:
1. Acacia kama ilivyo migodi mingine Tanzania ni mali ya wawekezaji na siyo mali ya serikali maana stahili ya serikali ni asilimia 4 tu ya thamani ya madini yanayochimbwa. Serikali kufungua container za acacia na kuchukua sampuli bila kuwashirikisha acacia ni kosa.
2. Sampuli za mchanga zilizochukuliwa na kaati ya rais zimepimwa kwenye maabara bila uwakilishi wa acacia na ni kosa maana tayari acacia wamesema hawatambui huo uchunguzi na kwa hivyo serikali haiwezi kutumia matokeo ya ripoti hiyo kudai fidia mahali po pote.
3. Mikataba kama huo wa acacia inapotokea kutoelewana mahali pa kutafuta suluhu ni mahakama ya kimataifa ya usuluhishi na mahakama hiyo pia haitatambua matokeo kwenye ripoti ya kamati ya rais. Mahakama utatumia ripoti ya SGS maana inatambulika kimataifa au serikali ikikataa ripoti ya SGS mahakama itateua chombo kingine huru cha kimataifa kurudia uchunguzi wa mchanga kwenye container. Kama vipimo vya kiasi cha madini kwenye mchanga kitafanana na zile za SGS basi serikali ya Tanzania itabwagwa chini na acacia na kutakiwa kulipa gharama za kufidia kwa acacia.
4. Kuna uwezekano pia acacia wakasema mchanga kwenye container siyo wa kwao maana serikali imefungua container bila wao kuwepo na kupelekea uwezekano wa mchanga wao kutolewa na serikali kuweka mchanga mwingine.
5. Kwenye sakata hili uwezekano mkubwa ni serikali kupoteza na siyo kupata. Mikataba ya kimataifa inahitaji weledi na wala siyo mihemko ya kisiasa na ubabe wa serikali.
Mkinga mkinga
Hawa mkuu walitumia akili za kuvukia barabara tuAcha hasira.....
Hata sisi vilaza wa sheria tusingefanya jambo walilofanya hawa bwana wakubwa.
Kitakachotokea ni hiki hapa:
Tutazunguka wee lakini mwisho wa siku tutalazimika kukubali hoja ya kuunda Tume Huru ya uchunguzi
Kweli kakaJamaa ameleta hoja zake, unaonaje ukiweka hapa hoja zako ilikweli mtoa mada tumuone ni mtumwa.
Umeongea point kakaHivi ndio nilitarajia ungekuwa waleta mada za namna hii hapa Jukwaani. Wote tunamuunga mkono Mh. Rais kwa jitihada zake nzuri lakini ziwe zinazingatia natural justice. Imani ya Rais hata kabla hajachukua form ilikuwa ni sisi kuibiwa madini na wawekezaji. Basi angetafuta ukweli kupitia mikataba kama vile kubaini vipimo vinavyopunguza aina za madini na uwingi wa madini katika makinika na kuunda tume kama ya Prof Mruma ishirikiane taasisi huru za kimataifa kubaini ukweli wenye uwakilishi wa pande zote..mwekezaji na serikali. Kwa sasa serikali tu ina imetoa maoni yake bado wawekezaji wanahisi wako sahihi. Vyema tubalance story tuwashitaki na kuwaadhibi kwa haki.
Mwambie huyo kakaNi mikataba wa uwizi aliyoingia Mwekezaji ACACIA na nani sijui..maana wauita mkataba wa ACACIA wakati ni mkataba wa uwekezaji umeridhiwa na pande zote yaani Serikali na wao. Acha mahaba kaka jaribu kuwa msomi na sio mwanasiasa.
Umeandika Kisiasa zaidi kuliko Kisheria. Vyovyote Iwavyo - ACACIA WAMEFANYA UDANGANYIFU NA KWA HILI HAWATAPONA - JUHUDI ZAO ZA KUJIKWAMUA NI NYINGI SANA NYUMA YA PAZIA LAKINI SAFARI HII HAWATATOBOA - NI AFADHALI WAONDOKE NA TULIPE FIDIA KULIKO KUBARIKI WIZI WA MCHANANIMEIOKOTA SEHEMU: Kuna sababu za msingi hapa serikali ishaurike!Huyu ameshauri hivi:
Huenda uchunguzi wa madini ndani ya mchanga ukaishia kuwa swala la JPM kutafuta sifa tu na usiwe na manufaa kwa umma kwa sababu zifuatazo:
1. Acacia kama ilivyo migodi mingine Tanzania ni mali ya wawekezaji na siyo mali ya serikali maana stahili ya serikali ni asilimia 4 tu ya thamani ya madini yanayochimbwa. Serikali kufungua container za acacia na kuchukua sampuli bila kuwashirikisha acacia ni kosa.
2. Sampuli za mchanga zilizochukuliwa na kaati ya rais zimepimwa kwenye maabara bila uwakilishi wa acacia na ni kosa maana tayari acacia wamesema hawatambui huo uchunguzi na kwa hivyo serikali haiwezi kutumia matokeo ya ripoti hiyo kudai fidia mahali po pote.
3. Mikataba kama huo wa acacia inapotokea kutoelewana mahali pa kutafuta suluhu ni mahakama ya kimataifa ya usuluhishi na mahakama hiyo pia haitatambua matokeo kwenye ripoti ya kamati ya rais. Mahakama utatumia ripoti ya SGS maana inatambulika kimataifa au serikali ikikataa ripoti ya SGS mahakama itateua chombo kingine huru cha kimataifa kurudia uchunguzi wa mchanga kwenye container. Kama vipimo vya kiasi cha madini kwenye mchanga kitafanana na zile za SGS basi serikali ya Tanzania itabwagwa chini na acacia na kutakiwa kulipa gharama za kufidia kwa acacia.
4. Kuna uwezekano pia acacia wakasema mchanga kwenye container siyo wa kwao maana serikali imefungua container bila wao kuwepo na kupelekea uwezekano wa mchanga wao kutolewa na serikali kuweka mchanga mwingine.
5. Kwenye sakata hili uwezekano mkubwa ni serikali kupoteza na siyo kupata. Mikataba ya kimataifa inahitaji weledi na wala siyo mihemko ya kisiasa na ubabe wa serikali.
Mkinga mkinga
Mkishauriwa wabishi saa hizi ndio mnapiga mayowe.Hiyo hasira yako wapelekee ma-ccm wenzako waliosaini mikataba.Wakikurupuka si ndio furaha yako upate kuandika mipost yako kama mwendawazimu.... siasa zimekutoa akili ila bado hujajielewa kama wewe ni chizi siasa.
Sasa si mkubali Tume Huru kama ACASIA walivyoshauri mambo yaishe?Umeandika Kisiasa zaidi kuliko Kisheria. Vyovyote Iwavyo - ACACIA WAMEFANYA UDANGANYIFU NA KWA HILI HAWATAPONA - JUHUDI ZAO ZA KUJIKWAMUA NI NYINGI SANA NYUMA YA PAZIA LAKINI SAFARI HII HAWATATOBOA - NI AFADHALI WAONDOKE NA TULIPE FIDIA KULIKO KUBARIKI WIZI WA MCHANA
Hahahhah..... ndiyo maana nimeamua kuongeza umakini kwenye ajira yangu.... na kilimo cha mpunga Moro. Wanasiasa watakuzeesha.Hawa mkuu walitumia akili za kuvukia barabara tu
Hapa kuna mambo mawili! kwanza unasema mchanga ni wa serikali na hivyo unajitahidi kutuaminisha kuwa siyo ya Watanzania bali ni ya wawekezaji!!! Pili unajivua Utanzania wako ... Lazima ifike mahala tuache unazi wa kichama....no matter what, tunatakiwa kupaza sauti kama taifa kukataa unyonyaji huu ...NIMEIOKOTA SEHEMU: Kuna sababu za msingi hapa serikali ishaurike!Huyu ameshauri hivi:
Huenda uchunguzi wa madini ndani ya mchanga ukaishia kuwa swala la JPM kutafuta sifa tu na usiwe na manufaa kwa umma kwa sababu zifuatazo:
1. Acacia kama ilivyo migodi mingine Tanzania ni mali ya wawekezaji na siyo mali ya serikali maana stahili ya serikali ni asilimia 4 tu ya thamani ya madini yanayochimbwa. Serikali kufungua container za acacia na kuchukua sampuli bila kuwashirikisha acacia ni kosa.
2. Sampuli za mchanga zilizochukuliwa na kaati ya rais zimepimwa kwenye maabara bila uwakilishi wa acacia na ni kosa maana tayari acacia wamesema hawatambui huo uchunguzi na kwa hivyo serikali haiwezi kutumia matokeo ya ripoti hiyo kudai fidia mahali po pote.
3. Mikataba kama huo wa acacia inapotokea kutoelewana mahali pa kutafuta suluhu ni mahakama ya kimataifa ya usuluhishi na mahakama hiyo pia haitatambua matokeo kwenye ripoti ya kamati ya rais. Mahakama utatumia ripoti ya SGS maana inatambulika kimataifa au serikali ikikataa ripoti ya SGS mahakama itateua chombo kingine huru cha kimataifa kurudia uchunguzi wa mchanga kwenye container. Kama vipimo vya kiasi cha madini kwenye mchanga kitafanana na zile za SGS basi serikali ya Tanzania itabwagwa chini na acacia na kutakiwa kulipa gharama za kufidia kwa acacia.
4. Kuna uwezekano pia acacia wakasema mchanga kwenye container siyo wa kwao maana serikali imefungua container bila wao kuwepo na kupelekea uwezekano wa mchanga wao kutolewa na serikali kuweka mchanga mwingine.
5. Kwenye sakata hili uwezekano mkubwa ni serikali kupoteza na siyo kupata. Mikataba ya kimataifa inahitaji weledi na wala siyo mihemko ya kisiasa na ubabe wa serikali.
Mkinga mkinga
iko hivi,Tuna pata asilimia 4 yaani 4% bora kuacha kuchimba madini
well clarifiediko hivi,
-mrahaba 4%.
-corporate tax 30%
jumla 34% kama sikosei
mfano ghana
mrahaba 5%
cooprate tax 25%.
Kwahiyo sio kwamba tunapata 4% tu.
Sema tax holiday wanapewa ndefu mno,
mfano geita mine ilianza uchimbaji 2001,wamekuja kuanza kulipa kodi 2011,
yaani incentive tax ya miaka 10,
wakati Nigeria tax holiday miaka 3.
Exceleent. Kuna haja ya rais kuwa makini. Hata wanapokuja kusachi chumbani kwako lazima mwenye chumba uwepo hawawezi wakasachi ini your absence halafu wakasema tumeona hiki au kile. Wakifanya hivyo una haki ya kukataa kuwa hicho hukijuwi na kuwa wamekubambikiaNIMEIOKOTA SEHEMU: Kuna sababu za msingi hapa serikali ishaurike!Huyu ameshauri hivi:
Huenda uchunguzi wa madini ndani ya mchanga ukaishia kuwa swala la JPM kutafuta sifa tu na usiwe na manufaa kwa umma kwa sababu zifuatazo:
1. Acacia kama ilivyo migodi mingine Tanzania ni mali ya wawekezaji na siyo mali ya serikali maana stahili ya serikali ni asilimia 4 tu ya thamani ya madini yanayochimbwa. Serikali kufungua container za acacia na kuchukua sampuli bila kuwashirikisha acacia ni kosa.
2. Sampuli za mchanga zilizochukuliwa na kaati ya rais zimepimwa kwenye maabara bila uwakilishi wa acacia na ni kosa maana tayari acacia wamesema hawatambui huo uchunguzi na kwa hivyo serikali haiwezi kutumia matokeo ya ripoti hiyo kudai fidia mahali po pote.
3. Mikataba kama huo wa acacia inapotokea kutoelewana mahali pa kutafuta suluhu ni mahakama ya kimataifa ya usuluhishi na mahakama hiyo pia haitatambua matokeo kwenye ripoti ya kamati ya rais. Mahakama utatumia ripoti ya SGS maana inatambulika kimataifa au serikali ikikataa ripoti ya SGS mahakama itateua chombo kingine huru cha kimataifa kurudia uchunguzi wa mchanga kwenye container. Kama vipimo vya kiasi cha madini kwenye mchanga kitafanana na zile za SGS basi serikali ya Tanzania itabwagwa chini na acacia na kutakiwa kulipa gharama za kufidia kwa acacia.
4. Kuna uwezekano pia acacia wakasema mchanga kwenye container siyo wa kwao maana serikali imefungua container bila wao kuwepo na kupelekea uwezekano wa mchanga wao kutolewa na serikali kuweka mchanga mwingine.
5. Kwenye sakata hili uwezekano mkubwa ni serikali kupoteza na siyo kupata. Mikataba ya kimataifa inahitaji weledi na wala siyo mihemko ya kisiasa na ubabe wa serikali.
Mkinga mkinga
Hiyo siyo rahisi mkuu. Sawa na kuoa mke unamwoa kwa sherehe kubwa lakini siku ukitaka kumfukuza huwezi kumfukuza kama mbwa ni lazima sheria zifuatwe na anaweza kugoma kuondoka na usiweze kumfanya kituWangefukuza tu ii acacia,..INA gharama kubwa