Nani kasema kesi za madai hazifungi? Unaweza kupelekwa gerezani kama civil prisoner vizuri kabisa.Kesi ya madai hata kufungwaa hufungwiii labda udaiwee na serikalii
Hayo ndio maneo ya uswahilini!! Wanadanganyana hivyo!! Mtu akikumomalia anakufunga kabisa kwa gharama zake.Nani kasema kesi za madai hazifungi? Unaweza kupelekwa gerezani kama civil prisoner vizuri kabisa.
Jidanganye hivyo, jaribu kuyakanyaga kwa mtu ambaye ataamua kukukomalia uone kama hujaenda jela, gharama zote za kukutunza huko anakulipia uone!! Kama juhakaa jela, hadi ulipe pesa zake.Kesi ya madai hata kufungwaa hufungwiii labda udaiwee na serikalii
Sasa mtu unalipaa pesa ili mtu afungweee na bado unzidi kumuhudumia ni Utahiraaa au wehuu???Jidanganye hivyo, jaribu kuyakanyaga kwa mtu ambaye ataamua kukukomalia uone kama hujaenda jela, gharama zote za kukutunza huko anakulipia uone!! Kama juhakaa jela, hadi ulipe pesa zake.
Ukilitazama kwa upeo wako, utaona hivyo ila kwa tuliotumia njia hiyo ilitusaidia kupata pesa zetu zote!! Hiyo unaifanya ki mkakati sio ili mradi tu!! Na hata huyo mdaiwa mwanzoni ataona masihara ila inapofikia hatua hiyo anaona unakabidhiwa uende naye magereza, mwenyewe, ndio sasa anajua kumbe nimekwisha!! Nilimdai pesa zaidi ya miaka mitano, kesi iko mahamani tu, kila siku chenga, ila ilipotoka hukumu nikamlipia segerea gharama za kumtunza za miezi miwili, mbona baada ya mwezi tu walinitafuta na kunilipa pesa zangu zote!!!Sasa mtu unalipaa pesa ili mtu afungweee na bado unzidi kumuhudumia ni Utahiraaa au wehuu???
hahahaaaa...............Ukilitazama kwa upeo wako, utaona hivyo ila kwa tuliotumia njia hiyo ilitusaidia kupata pesa zetu zote!! Hiyo unaifanya ki mkakati sio ili mradi tu!! Na hata huyo mdaiwa mwanzoni ataona masihara ila inapofikia hatua hiyo anaona unakabidhiwa uende naye magereza, mwenyewe, ndio sasa anajua kumbe nimekwisha!! Nilimdai pesa zaidi ya miaka mitano, kesi iko mahamani tu, kila siku chenga, ila ilipotoka hukumu nikamlipia segerea gharama za kumtunza za miezi miwili, mbona baada ya mwezi tu walinitafuta na kunilipa pesa zangu zote!!!
Eti mdaiwa hafungwi!!!wewe mbona niliipata pesa yangu yote, watoto wake wanauwezo mkubwa , ila waliona ni upuuzi!!na mimi nilijua tu ngoja mzee awekwe ndani watajitokeza tu!!na kweli ndio kilichotokea!!hahahaaaa...............