Nduka
JF-Expert Member
- Dec 3, 2008
- 8,552
- 2,360
Napata mashaka kuhusu uwezo wa kichwa chako!
njia rahisi ya kujua uwezo wa kichwa changu ni kuja kukijaribu, nikupe kontakt dada?
Napata mashaka kuhusu uwezo wa kichwa chako!
Hivi JF imevamiwa? Mbona inaonekana uwezo wako wa kusoma habari na kuitafsiri ni mdogo sana! nimesoma hiyo stori hakuna mahali panapoonyesha kuwa Dr. Slaa yuko tayari kuzungumza na huyo chizi mahimbo sasa wewe umeitoa wapi hiyo? Nina mashaka sana na nyinyi mliojiunga JF October halafu mnaleta thread za ajabu ajabu, kuna tahaira mwenzio alizusha Slaa atataifisha shule za waislamu tukamkimbiza hapa sasa na wewe unaleta upimbi, kawaambieni waliowatuma kujiunga JF kuwa hili jamvi ni lina great thinkers na Slaa ni "Taifa" kubwa kwahiyo vilaza kama nyie hamuwezi kujenga hoja za kumchafua.
HIVI UNAMAKENGEZA NINI? HEMBU TAFUTA MIWANI HALAFU SOMA TENE HIYO LINK HALAFU UTAONA KIPENGELE HIKI: Hata hivyo Wakili Kitururu alidai kuwa kama watakubaliana katika hatua ya usuluhishi na Dk Slaa kukubali kulipa fidia ya Sh1 bilioni anayodaiwa kesi hiyo itakuwa imeishia hapo.
MPAKA HAPO HUHITAJI KUFAFANULIWA ZAIDI NA MIMI SIJALELEWA NA WAZAZI WENYE KUPENDA KUTUSI SIJUI MWENZANGU KAMA UMETOKEA KATIKA FAMILIA ISIO NA MAADILI!!!
HIVI UNAMAKENGEZA NINI? HEMBU TAFUTA MIWANI HALAFU SOMA TENE HIYO LINK HALAFU UTAONA KIPENGELE HIKI: Hata hivyo Wakili Kitururu alidai kuwa kama watakubaliana katika hatua ya usuluhishi na Dk Slaa kukubali kulipa fidia ya Sh1 bilioni anayodaiwa kesi hiyo itakuwa imeishia hapo.
MPAKA HAPO HUHITAJI KUFAFANULIWA ZAIDI NA MIMI SIJALELEWA NA WAZAZI WENYE KUPENDA KUTUSI SIJUI MWENZANGU KAMA UMETOKEA KATIKA FAMILIA ISIO NA MAADILI!!!