Kesho uchaguzi rasmi wa RT Mwanza

Kesho uchaguzi rasmi wa RT Mwanza

Melubo Letema

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2020
Posts
431
Reaction score
433
a218f3aa-c45d-474f-a2a6-723f66206518.jpeg
1482366b-85f1-4692-a7bb-470405886598.jpeg
Shirikisho la riadha Tanzania -RT kesho linatarajia kufanya uchaguzi wao mkuu wa viongozi mbalimbali, ikiwemo rais na makamu wake; nafasi ya uwakilishi wanawake na nafasi ya ujumbe kwenye kamati ya utendaji.

Nafasi ya katibu hakuna kwenya uchaguzi huu , bali itakuwa ni ya kuajiriwa; watu watatuma vyeti vyao ili wachaguliwe;

Uchaguzi huo utafanyika jijini Mwanza tarehe 16 agosti 2025.

Tusubiri tuone mtanange huo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom