Melubo Letema
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 431
- 433
Nafasi ya katibu hakuna kwenya uchaguzi huu , bali itakuwa ni ya kuajiriwa; watu watatuma vyeti vyao ili wachaguliwe;
Uchaguzi huo utafanyika jijini Mwanza tarehe 16 agosti 2025.
Tusubiri tuone mtanange huo.