Walete. Kumbuka msigeuze kuwa ni vita za makabila.Kesho 10/06/2023 ndio siku ya kuwatambua wabunge watakaoamua kuuza bandari yetu , kwa kuweka kumbukumbu sawa tutaweka majina yao yote pamoja na Majimbo yao ili historia iwakumbuke kwa kuuza bandari
Hii itakuwa ni kumbukumbu kama ilivyowekwa kumbukumbu ya Chief Mangungo wa Msowero na Dr. Carl Peters.
JINA LA MBUNGE JIMBO LAKE
1. JOSEPH MSUKUMA. GEITA VIJIJINI
2.
3.
4.
5.
6.
7.
........
Sent from my CPH2217 using JamiiForums mobile app
Ccm WoteWapitishaji wa mswada👇😁😁😁View attachment 2651485
Kesho Mboga Na Ugali Wa Wabunge Wote Wa Ccm Wanautetea Kwa Kumpa DP WorldHapo watapigwa mabiti wachague ulaji au kutetea haki wafe maskini
Dah inasikitisha sanaaKesho Mboga Na Ugali Wa Wabunge Wote Wa Ccm Wanautetea Kwa Kumpa DP World
Leo Kikao Chao Bila Shaka Kimemaliza Yote Na Tetesi Ni Kuwa Bonge Lisiwe Live
Nasikiliza BBC SWAHILI Ajabu Msigwa Hasemi Muda Wa Mkataba
Huyu nae si kwenye zile posho za Billion 47 alihusika zipitishwe bungeni walipane posho Billion 47 tena kwa lazima na hii nayo anataka Bandari iuzwe miaka 100, ana Shea yake na waarabu kwenye kusaini mkataba ?1. JOSEPH MSUKUMA. GEITA VIJIJINI
Huyu nae si kwenye zile posho za Billion 47 alihusika zipitishwe bungeni walipane posho Billion 47 tena kwa lazima na hii nayo anataka Bandari iuzwe miaka 100, ana Shea yake na waarabu kwenye kusaini mkataba ?
Kwani mliwaweka nyie?Kesho 10/06/2023 ndio siku ya kuwatambua wabunge watakaoamua kuuza bandari yetu , kwa kuweka kumbukumbu sawa tutaweka majina yao yote pamoja na Majimbo yao ili historia iwakumbuke kwa kuuza bandari
Hii itakuwa ni kumbukumbu kama ilivyowekwa kumbukumbu ya Chief Mangungo wa Msowero na Dr. Carl Peters.
JINA LA MBUNGE JIMBO LAKE
1. JOSEPH MSUKUMA. GEITA VIJIJINI
2.
3.
4.
5.
6.
7.
........
Sent from my CPH2217 using JamiiForums mobile app
Watakaokubali uwekezaji huo wa dubai hatutawasamehe wala kuwasahau. Lakini wajue hapakalika.Kesho 10/06/2023 ndio siku ya kuwatambua wabunge watakaoamua kuuza bandari yetu , kwa kuweka kumbukumbu sawa tutaweka majina yao yote pamoja na Majimbo yao ili historia iwakumbuke kwa kuuza bandari
Hii itakuwa ni kumbukumbu kama ilivyowekwa kumbukumbu ya Chief Mangungo wa Msowero na Dr. Carl Peters.
JINA LA MBUNGE JIMBO LAKE
1. JOSEPH MSUKUMA. GEITA VIJIJINI
2.
3.
4.
5.
6.
7.
........
Sent from my CPH2217 using JamiiForums mobile app
Halafu itakuwa nini hasa?Kesho 10/06/2023 ndio siku ya kuwatambua wabunge watakaoamua kuuza bandari yetu , kwa kuweka kumbukumbu sawa tutaweka majina yao yote pamoja na Majimbo yao ili historia iwakumbuke kwa kuuza bandari
Hii itakuwa ni kumbukumbu kama ilivyowekwa kumbukumbu ya Chief Mangungo wa Msowero na Dr. Carl Peters.
JINA LA MBUNGE JIMBO LAKE
1. JOSEPH MSUKUMA. GEITA VIJIJINI
2.
3.
4.
5.
6.
7.
........
Sent from my CPH2217 using JamiiForums mobile app
Wabunge wote kutoka Hanyengwa-Mchana na Mchambawima..Kesho 10/06/2023 ndio siku ya kuwatambua wabunge watakaoamua kuuza bandari yetu , kwa kuweka kumbukumbu sawa tutaweka majina yao yote pamoja na Majimbo yao ili historia iwakumbuke kwa kuuza bandari
Hii itakuwa ni kumbukumbu kama ilivyowekwa kumbukumbu ya Chief Mangungo wa Msowero na Dr. Carl Peters.
JINA LA MBUNGE JIMBO LAKE
1. JOSEPH MSUKUMA. GEITA VIJIJINI
2.
3.
4.
5.
6.
7.
........
Sent from my CPH2217 using JamiiForums mobile app
Haina Haja maana kesho wataunga wote , kwa hiyo wewe copy na kupest tu kutoka orodha ya bunge maana wote wako chini ya shinikizoKesho 10/06/2023 ndio siku ya kuwatambua wabunge watakaoamua kuuza bandari yetu , kwa kuweka kumbukumbu sawa tutaweka majina yao yote pamoja na Majimbo yao ili historia iwakumbuke kwa kuuza bandari
Hii itakuwa ni kumbukumbu kama ilivyowekwa kumbukumbu ya Chief Mangungo wa Msowero na Dr. Carl Peters.
JINA LA MBUNGE JIMBO LAKE
1. JOSEPH MSUKUMA. GEITA VIJIJINI
2.
3.
4.
5.
6.
7.
........
Sent from my CPH2217 using JamiiForums mobile app