Kesho nakula X wangu baada ya miaka saba

Kesho nakula X wangu baada ya miaka saba

Na furushi moja eti linakuja jisifia hapa kutembea na ex, halafu ex mwenyewe mke wa mtu, na wewe unaona umeyapatia maisha??? Mwanamke ana magoli mawili ya kidume chenzio, Bruh' hujiskii hata kinyaa..??
 
Akili zenu changa ukilinganisha na umri wenu, kisayansi tunasema mna IQ ndogo wote
 
Ushauri wangu nenda kwa familia yako watake radhi na uende kwa Mungu wako usali toba then uje umalizie hapa jf,please fanya ivyo
 
Back
Top Bottom