kesho ndio kesho masikio ye2 sote ni dodoma pale mjengoni je waziri mkuu atasema nii?.tuna dhani hata watakopojiuzulu ndio suluhisho pekee?.naeza sema ni sawa nakujaza upepo kwenye tairi lililopqasuka.ndaani ya ccm hakuna mwema tena.M4C
Kwamba kesho waziri mkuu atasema bungeni lakini tetesi ni kwamba haijulikani atasema nini! Hizo ndizo tetesi! Great Thinkers bwana tumethubutu tumeweza tunasonga mbele!
Kwamba kesho waziri mkuu atasema bungeni lakini tetesi ni kwamba haijulikani atasema nini! Hizo ndizo tetesi! Great Thinkers bwana tumethubutu tumeweza tunasonga mbele!