miles45
JF-Expert Member
- Jan 4, 2019
- 3,465
- 8,277
Ni leo tarehe 24/12/2021 mida ya saa Saba mchana napata hiyo meseji kutoka kwa mrembo mmoja makini Sana hapa mjini.
Bad side ni kwamba now days nimeamua kuwa mtu mwema tangu nipate majibu yangu ya vipimo vya HIV kutoka kwa yule doctor Alie nipima kisirisiri ila alipo ona majibu mazuri akaamua kunichana.
Niliamua my dick iwe ni kwa ajiri ya wife na kukojolea tu Sasa vishawishi vinazidi...ila nitapambana tu nitimize lengo.
Wewe mrembo sorry najua kesho umejiandaa kwa mashow makali ila nataka nikuambie tutaonana jioni Sana baada ya kuspend na wife kutengeneza madiko na kula kifamilia kabisa hapo nitawatoroka kidogo na kuja kwako na tukionana ni sehemu open na nitakunywa maji tu ...na kulipia bili zako za Savannah na Uber na hata ukitaka ulale hotel ...ila my dick No ....No....now days is for my wife and peeing na sita zidisha masaa mawili katika hiyo meeting. Then back to my family kumalizia viporo vyetu
Wanaume wote wenye hii situation tushee Basi ..
Bad side ni kwamba now days nimeamua kuwa mtu mwema tangu nipate majibu yangu ya vipimo vya HIV kutoka kwa yule doctor Alie nipima kisirisiri ila alipo ona majibu mazuri akaamua kunichana.
Niliamua my dick iwe ni kwa ajiri ya wife na kukojolea tu Sasa vishawishi vinazidi...ila nitapambana tu nitimize lengo.
Wewe mrembo sorry najua kesho umejiandaa kwa mashow makali ila nataka nikuambie tutaonana jioni Sana baada ya kuspend na wife kutengeneza madiko na kula kifamilia kabisa hapo nitawatoroka kidogo na kuja kwako na tukionana ni sehemu open na nitakunywa maji tu ...na kulipia bili zako za Savannah na Uber na hata ukitaka ulale hotel ...ila my dick No ....No....now days is for my wife and peeing na sita zidisha masaa mawili katika hiyo meeting. Then back to my family kumalizia viporo vyetu
Wanaume wote wenye hii situation tushee Basi ..