Haya ni majibu ya hovyo kabisa.Kama utaki izo kero nunua lako mbona simple tu mkuu
Kwanini unakuwa na jaka moyo nunua lako utaweka sit belt hadi kwenye breaks
Wewe abiria unaekubali kupangwa kama ndizi kwenye mkungu ndio una matatizo.Gari za abiria hazina seat belt hususani Coster , Abiria wabakalishwa 5 _ 5 alafu eti , kuna chama cha kutetea Abiria
Juhudi za Rais zinarudishwa nyuma na Askari wahusika wa hii kitu
Haya ni majibu ya hovyo kabisa.
Mkuu naomba kufahamu "jaka moyo" maana yake ni nn? Kiswahili chako kimeniacha kidogo.Kama utaki izo kero nunua lako mbona simple tu mkuu
Kwanini unakuwa na jaka moyo nunua lako utaweka sit belt hadi kwenye breaks
Wewe abiria unaekubali kupangwa kama ndizi kwenye mkungu ndio una matatizo.
Mko abiria 30 mnaburuzwa na konda mmoja alievalia surusli juu ya suruali chini ya makalio!
Kwahio kama huna gari ndio ukubali ukiukwaji wa sheria na taratibu? Una mengi ya kujifunza kuhusu maishs.Sio ovyo mkuu hiyo ndo reality kubali ukatae
Unavutia kwako umesehau kuwa wale wanafanya kazi hawako kuuza sura
Alafu simple ni ww kununua gari yako kama utaki izo kero hakuna mchawi zaidi ya ilo
Work hard nunua gari yako alafu tuone kama utasema majibu ya ovyo
Kwahio kama huna gari ndio ukubali ukiukwaji wa sheria na taratibu? Una mengi ya kujifunza kuhusu maishs.
Wewe mwenye askari akiwasimamisha akauliza kuna tatizo??Gari za abiria hazina seat belt hususani Coster , Abiria wabakalishwa 5 _ 5 alafu eti , kuna chama cha kutetea Abiria
Juhudi za Rais zinarudishwa nyuma na Askari wahusika wa hii kitu
Thats the system in your head. Wengine hatufanyiwi huo ujinga kwasababu tunajua haki zetu. Wewe endelea kupangwa kama ndizi.Yes niko na mengi ya kujifunza sikatai
Ila wewe unadhani kwamba ndo wakwanza kuona iyo kero na kwa taarifa wewe sio wa kwanza wala wa mwisho kuona iyo kero
Ila fahamu thats the system either you like it or not you have to admit it
Na ukienda hospital ukapata huduma mbovu tutakuambia jenga yakoKama utaki izo kero nunua lako mbona simple tu mkuu
Kwanini unakuwa na jaka moyo nunua lako utaweka sit belt hadi kwenye breaks
ndugu unafananisha huduma ya hospital na huduma ya usafiri kweli.....Na ukienda hospital ukapata huduma mbovu tutakuambia jenga yako