mito
JF-Expert Member
- Jun 20, 2011
- 10,811
- 11,031
Hata kama watarudisha, the fact is their efficiency is very lowPole mkuu hii hutokea japo marachache Sana, milihamisha tsh 600k haikufika kwa Mpesa nikajipa moyo siku kama tatu bila kuona mabadiliko mpesa wala kurudishwa CRDB, zikapita kwa kuwa nilikuwa maeneo ya ndani Sana nikampigia mtu alikuwa town awaeleze kisa changu wakamwambia asiwaze itarudi kweli baada ya SAA kadhaa ikarudi CRDB, mara ya pili ilikuwa 200k this time siku hangaika zaidi ya kutafuta plan B kweli baada ya muda ilirudi so usihofu utarudishiwa!