Brown kulax
Member
- Oct 20, 2019
- 17
- 8
Kumbukumbu zangu zinanirudisha February 2019 ambapo Waziri Mkuu alisema kero ya usafiri huu itaisha August, 2019.
Jambo la kufikirisha ni kwamba mpaka leo hii bado watu wanateseka na usafiri huu.
Najipa swali kwamba kama tunashindwa kusimamia mwendokasi, treni ya SGR tutaweza?
Jambo la kufikirisha ni kwamba mpaka leo hii bado watu wanateseka na usafiri huu.
Najipa swali kwamba kama tunashindwa kusimamia mwendokasi, treni ya SGR tutaweza?