Nchi iliyolaanika kwa injustice Kama hii hamna litakalofanikiwa Sana Sana ni ladha ya maumivu tu kwa kila MTU , kila MTU ataonja madhara ya kuongozwa na vibaka maharamia wauaji wasiopewa ridhaa ya wananchi kuongoza , kwa wale machawa mnaotetea serikali hii haramu mjue kwamba hawa wahuni mnaowatetea humu They don't give a rat ass about you , mkose Maji mfe they don't care