N'yadikwa
JF-Expert Member
- Aug 10, 2014
- 6,825
- 9,533
Serikali tafadhali muimulike hii barabara zipatikane 4 ways kuna kero mnoo ya foleni kuanzia Tegeta Nyuki hadi Bunju.
Kwa mfano shule zikifunguliwa wazazi wanapowapeleka watoto shule za Pwani Bagamoyo inakuwa kerooo.
Pia jioni unaporudi kazini ukifika Tegeta Nyuki tu mpaka ufike kwako Bunju 'B' au Mabwepande unatumia muda mwingi sana.
Askofu Gwajima barabara hii ipo kwenye jimbo lako. Tafadhali iweke kwenye vipaumbele vya kuisemea huko Bungeni tupatiwe barabara 4.
HIYO PICHA HAPO NI BOKO MAGENGENI KWA WAGOGO TUMESTAKI HAPO ZAIDI YA SAA 2 FOLENI HAIENDI KISA BARABARA FINYU WENGINE WAMEPITA PEMBENI LAKINI HAISAIDII. TAFAADHALI IMULIKENI HII BARABARA.
Kwa mfano shule zikifunguliwa wazazi wanapowapeleka watoto shule za Pwani Bagamoyo inakuwa kerooo.
Pia jioni unaporudi kazini ukifika Tegeta Nyuki tu mpaka ufike kwako Bunju 'B' au Mabwepande unatumia muda mwingi sana.
Askofu Gwajima barabara hii ipo kwenye jimbo lako. Tafadhali iweke kwenye vipaumbele vya kuisemea huko Bungeni tupatiwe barabara 4.
HIYO PICHA HAPO NI BOKO MAGENGENI KWA WAGOGO TUMESTAKI HAPO ZAIDI YA SAA 2 FOLENI HAIENDI KISA BARABARA FINYU WENGINE WAMEPITA PEMBENI LAKINI HAISAIDII. TAFAADHALI IMULIKENI HII BARABARA.