Hasa maeneo ya Kisutu na kariakoo bajaji na bodaboda wamekuwa kero sana hawafauti foleni wala alama za barabarani na huko wakisababisha foleni zisizo na sababu tunaomba hatua dhidhi zichukuliwe ku punguza hii kero.
Hatuna na shida na biashara yao lakini ni lazima wapewe elimu ya kuendesha kwa utulivu.
Hatuna na shida na biashara yao lakini ni lazima wapewe elimu ya kuendesha kwa utulivu.