Kwakweli hii imekuwa kero iliyokosa ufumbuzi mpaka sasa kila siku tanesco mnakata umeme kata rudisha kata rudisha
Siku mbili wanakuwa wamekupendelea wanakaa hata weekKabisaa kibaya zaid n kata rudisha kata rudisha kata rudisha. Nadhan watakua kuna njuka wanawafanyia training ya kukata na kuwasha umeme.
But mmekua KERO MNO, afata mkipigiwa simu kuja sasa!!!ad siku 2