Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,352
Ni kero, inabidi kubadilika. Ila ushauri kwa Mwanamke... Hata akirudi asubuhi, mpokee vizuri, muandalie maji ya kuoga, muulize atakula nini.. akifanya hivyo kwa miezi kadhaa! Ipo siku ATABADILIKA huwezi amini.... Ila kama akirudi amelewa halafu wewe unamKOROMEA.. Walah hawezi acha.. Akina MAMA mna nafasi kubwa sana ya kujenga au kubomoanyumba zenu.
hii kuna wakati inasaidia na kuna wakati inavuruga kabisa, inategemea kichwa cha mwanaume, kama maji maji tu hata ufanye nini! mie ilinisidia lakini sio kwa kuuliza unakula nini na cjui kitu gani, mie ilikuwa kwa kumtayarisha asubuhi, nguo kila kitu safi, haulizwi mtu ametoka wapi wala ilikuwaje, alikoma na kichwa cha kimarangu, alijirudi mwenyewe!...