KERO:JUMBE ZA KUTOKA MAKAMPUNI YA KUBET

delako

JF-Expert Member
Oct 6, 2012
2,743
1,492
Habari wana jf, Kichwa cha habari hivi kuna mamma yoyote ya kufanya ambayo itamfanya mtumiaji wa hii mitandao ya simu hasa TIGO kutokupokea ujumbe wa kutoka haya makampuni ya ubashiri???? Unakuta toka asubuhi ni
Mara DAKA PESA
MOJA SPESHO
INSTAMOJA
BIKO
TATU MZUKA
MKEKABET
SUPERBET
Yani Hakuna wakati u nap at all sms ya maana kutoka kwao ni KAMALI TU!!
ninaomba kama kuna anayejua basi anisaidie hata kama ni app ambayo natakiwa niidownload nitafanya hivyo.
Wao hasa tigo nimeshawapigia ila tatizo ndio limezidi.!Leo customer care mmoja nimemuambia mpaka 31/12/2018 ikiendelea basi ni kuvunja vunja line ya Tigo maana mmmhhh.
Naomba kuwasilisha
 
Haya makampuni ya simu ya kitanzania hayajali kabisa privacy za wateja wao. Wao wanagawa details za wateja kwa hao makamaria wanafikiri kila mtu mcheza michezo hiyo.

Utashangaa kila siku unapokea ma text kibao ya ajabu ajabu ingawa hujawahi kushiriki hayo mambo.


Makampuni ya simu jirekebisheni, jalini privacy za wateja wenu. Sio kila mtu ni mcheza biko
 
Hujakutana na simu za SBT wauza magari kutoka Japan, hao unaweza kutupa simu kwny maji kuepuka hio kero yao.
 
Hujakutana na simu za SBT wauza magari kutoka Japan, hao unaweza kutupa simu kwny maji kuepuka hio kero yao.
Na sikuizi kuna kitu wanakiita "ads" hii ni kero kubwa ukiingia Internet unakua Na kazi ya kuyakata haya matangazo ndipo uangalie unachokitaka mbaya.

Sheria imekaa kimya kuhusu hili, Unapotuma matangazo kupitia "ads" hapo inamaana unatumia bando langu kunipitishia matangazo hiyo ni sawa na kutumia pesa yangu kufanyia biashara yako kwaiyo kuna kila sababu ya kunilipa faida. Sheria iwekwe vizuri hapa kama wahusika hawawezi wafungue Channels za matangazo yao tuwe tunawafuata huko huko,mtuondolee hizi kero.
 
Back
Top Bottom