malkiamrembo
JF-Expert Member
- Mar 29, 2015
- 386
- 231
Ndugu wananchi napenda kuwasilisha kero zangu, hivi kwann ITV wanabagua sana katika kutoa taarifa za watu fulani? Kwa mfano leo nimeshuhudia nikiwa napita kwenye gari mkabala na jengo la sofia house pale Kisutu mahakani nikaona umati na nilipo uliza nikaambiwa ni issue ya (jina kapuni) sasa nilipouliza nikaambiwa waliopo pale ni ITV na media nyingine lakini hakuonyesha kwenye habari, haraka zangu zote za taarifa ya habari lakini sikuona.