Wananchi hawana maji siku 4 hadi siku 9, na siku mkiamua kuwapa maji basi ni usiku wa manane na presha ni ndogo sana wakati mwingine saa 11 au 12 alfajiri mnakata maji. Wengine wakiamka asubuhi wanakuta story tu maji yalitoka usiku.
Tunaomba kujua maagizo hayo mnayatoa wapi, wizarani?
Bill zinatoka kwa speed sana kuliko maji.
Mnatesa wananchi.