ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,543
Bora kurudi kwa Mwandulamiwewe umejiunga na kifurushi kipi? maana kila kifurushi kina huduma zake
Mwandulami hatunae anamhudumia mwendazakeBora kurudi kwa Mwandulami
Yeye ni mwalimu. Ni mtumishi wa serikali.Pale unapokwenda kutafuta tiba na katikàti ya huduma unaelezwa na madaktari husika kuwa"....Kipimo au tiba hii haiingii kwenye Nhif,inabidi ulipie cash.."....
mim ni kifurush cha sitandard.je kinacover nin na nn?vifurushi vya nhif. we unalipia kipi?View attachment 1845325
mim ni kifurush cha sitandard.je kinacover nin na nn?
NHIF ni hiari kwa sasa na ina vifurushi ambavyo unalipia mchango wako kulingana na umri, uhitaji na pia ukubwa wa Familia.Pale unapokwenda kutafuta tiba na katikàti ya huduma unaelezwa na madaktari husika kuwa: "Kipimo au tiba hii haiingii kwenye NHIF, inabidi ulipie cash."
NHIF mlipoanza huduma hii hili mlilipanga vipi?
Je, ni haki mteja wenu mnamkata pesa kila mwezi na mara nyingi haugui ama kutumia kadi hata miezi sita, vipi mteja wenu huyu anapofikwa na shida kubwa katika ugonjwa anakutana na kikwazo hiki?
Nini hasa tatizo?
Je, ni lini shida hii itaondolewa ili tupate kunufaika na huduma zenu kwa 100% pia kuizidishia thamani kadi yenu ya matibabu?
Hicho ndio hasa ninachokihoji,hawa jamaa hawakutakiwa kubagua mgonjwa apate tiba unayostahili kwa 100%..hapo ndipo bima italeta maanawewe umejiunga na kifurushi kipi? maana kila kifurushi kina huduma zake
Unataka ununue kifurushi cha 300/= halafu upige simu sawa na wa kifurushi cha 10,000/=?Hicho ndio hasa ninachokihoji,hawa jamaa hawakutakiwa kubagua mgonjwa apate tiba unayostahili kwa 100%..hapo ndipo bima italeta maana
sema wewe mkuuUnataka ununue kifurushi cha 300/= halafu upige simu sawa na wa kifurushi cha 10,000/=?
Dah matabaka hayatokuja isha tzUnataka ununue kifurushi cha 300/= halafu upige simu sawa na wa kifurushi cha 10,000/=?