joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,613
Kaka tulia sio lazima kila kitu ukanushe, katika hili usijisumbue kubishana sana, eneo ambalo uncle Magu anafanya vizuri sana ni kupambana na rushwa na kudhibiti maliasili za taifa, Uhuru amelitambua hilo na ameamua kumuigiza kwa kupambana na rushwaNa ujinga wako unadhani Tanzania haina wenyewe? Heri anayetafunwa na anafahamu kwamba anatafunwa kuliko anayetafunwa na hata haelewi anatafunwa - anashinda akimchekelea mwenzake. Tanzania ya leo iko tulikokua enzi za Moi - ufisadi ulikua ila mwananchi wa Kawaida hakujua upo.
Sent using Jamii Forums mobile app