Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,671
- 8,237
Rais Uhuru Kenyatta amemlaumu Naibu Rais wake Williams Ruto kwa kile alichokisema hamsaidii kutatua matatizo ya wananchi wa Kenya badala yake amekuwa akienda kwa wananchi na kumtupia lawama Rais.
.
Uhuru Kenyata amesema Uko wapi wakati mimi nakuhitaji??
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
.
Uhuru Kenyata amesema Uko wapi wakati mimi nakuhitaji??
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app