Mwanzi1
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 6,000
- 4,586
Sorry nimepeleka responce kwa unknown child"Bandari yao ina deep water tofauti na mombasa au lamu, ukiwa na deep water port unaweza kuingiza na kutoa meli kwa masaa 24"
You said this View attachment 433980
Kwahiyo unataka kusema, kama Mombasa au Lama wakipata siku wakawa na rough sea wave of 20m high (which happen at certain time of the year) kazi itaendelea bila shida. I tell you, moja ya sababu bomba la mafuta kupelekwa Tanga na sio Mombasa ni uwezo wa meli kubeba mafuta all year round, wakati Mombasa wangeweza kufanya kazi hiyo for only 9 month of the year.