Angel Msoffe
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 6,781
- 1,639
Mwenyez Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi
Mkuu pole sana wamasai wote wa ukanda hui wa afrika mashariki
Hawa Al-Shabaab kiboko! Mtumeeeeee.
Tatizo lako nini ndg? Si bora yeye alikaa madarakani muda mrefu na amefanya makubwa. Atleast atakumbukwa! Vipi kuhusu viongozi wako wenye u-dr fake, ambao kila uchao ni mipango bila utekelezaji!
Hawa Al-Shabaab kiboko! Mtumeeeeee.
kwani hiyo choper si kama ile ya chadema.!!!
Nao hawana muda, utasikia siku moja, Mbowe, Slaa, Zitto, Lema na Tundu Lissu is no..................due to helicopter cra........., they were going to loot M4C spirits in western zone.!