Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha..huyo si polisi bali ni chifuView attachment 889862
Majirani huyu anaweza kamata hata kuku licha ya mwizi?
Hana choo cha kwenda mkuu anatembea na Mzigo yaani momo kwa momoMvivu wa kwenda choo huyu!
Umenikumbusha mabasi ya Scandinavian, ilikuwa mambo ya haja momo kwa momo. ... ha haahaa ahaaHana choo cha kwenda mkuu anatembea na Mzigo yaani momo kwa momo
Huyo ni mkenya fisadi ndiyo maana ujui Kenya inawenyewe siyo mtu kama wewe ,arafu kwanini umekuja na id Mpya ile uliyo post chupa ya pombe na mkono wako umekomaa kama mchimba mitaro umeikimbiaNi nini kinaendelea? Si wabongo walisema wakenya si wanene kisa hakuna chakula Kenya?
Hahaha. Duh kuna mambo humuView attachment 889862
Majirani huyu anaweza kamata hata kuku licha ya mwizi?