Mwandishi hakueleza ni kivipi KIA ina "high landing costs," post yako imenisaidia kuelewa, great.... kulikuwa hamna sababu ya kuweka tozo kubwa kiasi kile KIA mpaka makampuni ya ndege yanaogopa kutua
Anyhow, huu mtafaruku ukizidi kuwa mkubwa utafufua nyota ya Lowassa kwa jamii, na ndoto zake.
Kwa sababu ataonekana ana utetezi wa kweli wa maslahi ya nchi. Lini umewahi kusikia Kikwete akiikoromea nchi/business/taasisi ya kigeni?