pamoja na Mkapa kuwepo huko kwenu kusaidia muafaka, akirudi huku na yeye tunaye tu. Ni fisadi aliyekubuhu. Tunamsubiri kwa hamu sana ili atueleze alichotuibia kwa miaka 10, halafu arudishe. Otherwise Ukonga panamsubiri ili akatoe taarifa ya machafuko ya Kenya kwa wafungwa kule.