Kenya yaidhinisha matumizi ya Sindano ya Lenacapavir kama Kinga ya Maambukizi ya VVU

Kenya yaidhinisha matumizi ya Sindano ya Lenacapavir kama Kinga ya Maambukizi ya VVU

Zamani walikuwa wanasema "Aids", hata kumuangalia mgonjwa unaogopa anavotisha, ndo maana walikuwa wanawaficha ndani aisee huu ugonjwa huu.
Sijui ilikuwaje hii sayansi na siasa ya tiba.
Wakaanza kuliacha jina la AIDS na kutumia HIV.
Zamani utasikia ana AIDS au anaugua AIDS mara ikaja amekutwa na HIV.
 
Mkuu unafikiri ni kwanini watake kudhibiti population hasa ya waafrika? ukizingatia waafrika ni asilimia ndogo sana kwa ukiangalia World population kwa mabara.

Mzee UKIMWI ulipotangazwa kama janga la taifa linalopoteza nguvu kazi ya taifa, ulikuwa na umri gani?
 
Mzee UKIMWI ulipotangazwa kama janga la taifa linalopoteza nguvu kazi ya taifa, ulikuwa na umri gani?
Hujajibu swali langu mkuu bali umeleta hoja nyingine,swali langu limelenga uliposema issue ya kudhibiti Population hasa ya waafrika,ndio nikakuuliza unafikiri ni kipi kinachowafanya wao watake kudhibiti hiyo population ya waafrika? ukizingatia wahindi au India ina population kubwa kuliko bara la Afrika combined,China ina population kubwa kuliko bara la Africa combined,

Ndio maana nikakuuliza hilo swali,
Swali langu halihusiani na kuanza kuulizana umri humu.
 
Leo ukimwambia Gen Z UKIMWI mtu alikuwa anabaki KG 2, wanaona kama tunawahadithia stori za kufikirika. Mimi nimewahi kumuona mtu mzima amebebwa mgongoni na kitenge kama mtoto na ameenea.

UKIMWI huu leo watu wanadunda tuu mtaani. Aiseee
Nikweli kabisa unavosema
 
Hujajibu swali langu mkuu bali umeleta hoja nyingine,swali langu limelenga uliposema issue ya kudhibiti Population hasa ya waafrika,ndio nikakuuliza unafikiri ni kipi kinachowafanya wao watake kudhibiti hiyo population ya waafrika? ukizingatia wahindi au India ina population kubwa kuliko bara la Afrika combined,China ina population kubwa kuliko bara la Africa combined,

Ndio maana nikakuuliza hilo swali,
Swali langu halihusiani na kuanza kuulizana umri humu.

Nimeshakujibu mkuu. Labda kama una swali jingine.
 
Ule moto wa zamani acheni kabisa aisee,
Kumuona mgonjwa wa ukimwi kipindi kile ilikuwa kwanza lazima ujipange kuhusu kuongea nae na jinsi ya "kumuangalia".
UKifika kitandani kwake kwanza kama hujakiona kichwa chake unaweza ukasema mbona kuna shuka pekeake mtu hamna? Na ukikiona hicho kicha yan ni kma fuvu la mtu lililofunikwa na ngozi tu bila nyama,nywele ni kma mwendawazimu wa kisomali macho meupe,mdomo umebabuka,ukija kwenye mbavu unaweza ukaziona zile mbavu zilivyopangwa kuanzia ilipoanzia mpk ilipoishia....cha ajabu mgonjwa anakuwa anaongea balaa,yan anaongea kma siyo mginjwa na muda mfupi ukiambiwa jamaa aliyekuwa anaongea kma cherehani amekata moto wala usishangae.
CHa kuchunga ilikuwa wakati mnaongea usimuangalie sana usoni.
Ukitoka hapo kwa mgonjwa wewe mwenyewe nafsi inakwambia "Kuanzia leo mimi zinaa basi"
 
Dawa ya UKIMWI inaweza isije kupatikana.... Kinga kama hizi zikisambaa vya kutosha, baada ya Miaka 50 UKIMWI unaweza kuwa historia
 
Back
Top Bottom