ukhuty
JF-Expert Member
- Oct 9, 2016
- 16,851
- 41,924
hy ulale unonoNafurahi kusikia hivyo Dada yangu.
hy ulale unonoNafurahi kusikia hivyo Dada yangu.
Usifananishe masikiti na vitu vya kijinga.Wanaenda kuoana wapi? Kanisani , msikitini au serikalini?
Na wewe pia Dada yanguhy ulale unono
Ndio akili zako hizo hazina tofauti na hao akina magu.Hii hapana bora wizi wa 1.5 Trillion
Afadhali wewe una akili timamu!!Ni haki yao kabisa!
Kwanza ni watu wazima,
Pili hawajalazimishwa na yeyote,
Tatu ni kwamba hawaingilii uhuru wa mwingine.
Hakuna dhambi ndogo hata wewe ni shahidi.
Jambazi anatenda dhambi ya wizi kitu ambacho kinaacha makovu dhidi ya aliyeibiwa!
Hawa wao wanafanya mapenzi ya jinsia moja kitu ambacho hakimdhuru mwingine.
Kwanini sasa mlaumu watu ambao hawana affect yoyote kwenu ilihali kuna mengi yanayoidhuru jamii?
JARIBU KUHESHIMU UHURU WA MWENZAKO IKIWA UHURU HUO HAUNA AFFECT KWAKO.
mwili hajatumia wakwako!
hajaingilia uhuru wako!
hajakuharibia chochote!
Kwanini basi ikuume?
Uhuru wa mtu ikiwa haukudhuru usijaribu kuuingilia.
How disgusting?????Kuona picha namna hiyo unaweza usipatwe na mshangao, the real mshangao ni pale utakapoanza kuifikirisha akili yako kwamba nini hasa hawa jamaa wanafanya wawapo faragha...
...it's so disgusting!!
Mashetani yapi hayo??Huu uzi upelekwe kwenye jukwaa la Mashetani
Acha delusion wewe..... Anti Christ ya wapi???the work of anti christ has just begun
Mbona wewe hujachafuka hayo mawazo?Wanayo effect jamii na watoto wakiwaona wanaingilia uhuru kwa kuchafua mawazo ya watu. You can't justify this shit.
Ni kweli, Kenya inapaa kiuchumi kwa sababu inashughulika na mambo makubwa na yenye tija.Kenya ni nchi ya kipato cha kati
Wewe utakuwa mshirikina tu.Inaweza kutokea hasa kama mke anapenda kusukwa na kuoshwa miguu na mashoga, roho ya ushoga inamuingia hatimaye akizaa mtoto anatwaa hiyo roho na hatimaye shoga anaingia kwenye familia.
Ikiwezekana na kifo kabisa inapiga WOTE shabayani inatakiwa unatembeza kichapo cha trilion 1.5