Nilitaka nimjibu ila naona umamaliza..hii ndo tunaiita exposure(japo ndogo tu)Acha kuchekesha wewe....sprite ipo tz tu?? una tv nyumbani??
kichwa kisichofikiri ni mzigo kwa mwili.yani unamaanisha nini.....sijakuelewa.....mi mleta uzi hapa.....nifafajulie
Na kutawaza na toilet pepaHahahaha madhara ya kutawazwa hadi ukiwa namiaka mitano .
ukweli usiufanye uadui.wakati ni ukuta ukishindana nao utaumia.sawa boss mwenye mauwezo yako ya kufikiri.......vilaza kama mm muhimu kuwepo....si unajua tena....balance of nature
Nahisi kutapika nikisikia habari za hawa mbwa.Astakafululai, dunia imevaa msuli
Eenh kwaio jamaa kachukua choo rasmi
Kufuruhata Mungu ataelewa na kukusamehe kwa kuua
kwa hiyo jamaa ajachukua jiko..???kachukua choo!!!Astakafululai, dunia imevaa msuli
Eenh kwaio jamaa kachukua choo rasmi
ila Mimi inanishangaza kidogo..!!kuna dogo hapa mtaani toka amezaliwa yuko kama mwanamke mpaka leo hii ni shoga hasaa!!!sasa najiuliza,inakuwaje mungu anaruhusu mtu kuzaliwa shoga ilihali anauchukia??..Kuomba Mungu hicho ndio cha muhimu Mkuu.