REDEEMER.
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 8,925
- 14,880
Na ni kati ya kumbi chache za bunge Africa zilizo katika technology ya kisasa,
Kenya walipanua ukumbi wao wa bunge baada ya katiba mpya 2010 baada ya kuongeza viti vingi vya wawakilishi jambo lililopelekea ukumbi wa zamani kushindwa kuendelea na jukumu lake la awali,
Walijenga ukumbi ukakanilika miaka ya juzi juzi (Kwa mamilioni ya dollar kama kawaida yao kapigwa refer SGR) tu lakini ukijaribu kuangalia utajua kuna baadhi ya features zinafanana na ukumbi wa Tanzania kama mpangilio wa rangi za bendera kwenye floor, taa za kwenye floors, sitting plan, design ya viti na rangi zake na mengine mengi.
Japo bado ukumbi wa Dodoma unasalia kuwa the best in the region.