BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 2,738
- 6,556
Kenya vyanzo vyao vya umeme ni vichache sana ukilinganisha na vyanzo vya umeme vya Tanzania. Kenya wana matumizi makubwa sana kutokana pia na kuwa na Viwanda vingi sana, kwa EAC wao ndio wana matumizi makubwa wakifuatiwa na Tanzania.
Ila Kenya huwa hawakumbwi na migao ya mara kwa mara ingawa piia huwa inawatokea ila sio kwa kiwango cha Tanzania, Tanzania ni hii imekuwa ni utamaduni wetu kuwa na migao isio isha.
Kuna possibilities hii migao saa zingin nu hujuma za kutafuta tebda za dharura za kupiga oesa kama ilivyo tokeaga kwa Richimond. Sitaki kuamini kwamba ni migao real.
Tanzania tuna migao ya Umeme too much, nashindwa kuelewa huu utitiri wa mabwawa ya kuzalisha umeme yana msaada gani?Gesi ina msaada gani? Kama tunacjimba wenyewe na still tumeshindwa kuitumia ina maana gani?
Na kwa awamu hii na utawala huu wa anaupiga mwingi lazima tunyweshe maji kwa kutumia beseni.
Ila Kenya huwa hawakumbwi na migao ya mara kwa mara ingawa piia huwa inawatokea ila sio kwa kiwango cha Tanzania, Tanzania ni hii imekuwa ni utamaduni wetu kuwa na migao isio isha.
Kuna possibilities hii migao saa zingin nu hujuma za kutafuta tebda za dharura za kupiga oesa kama ilivyo tokeaga kwa Richimond. Sitaki kuamini kwamba ni migao real.
Tanzania tuna migao ya Umeme too much, nashindwa kuelewa huu utitiri wa mabwawa ya kuzalisha umeme yana msaada gani?Gesi ina msaada gani? Kama tunacjimba wenyewe na still tumeshindwa kuitumia ina maana gani?
Na kwa awamu hii na utawala huu wa anaupiga mwingi lazima tunyweshe maji kwa kutumia beseni.