Kenya-Tanzania Forum fails to strike deal on Dar work permit fee

FB_IMG_1482251561441.jpg
 
Kwakua ni wazalendo sana na wanawapenda kwa nn wasiagizie hizo mali ghafi na kuendelea kuwaajiri hukohuko?? Kenya wanatumia tu kama uchochoro wakujichotea wanayotaka humo na wakubwa kama mnayosema yangekua kweli msingekua mnahangaika kwenye nchi za watu hasa majirani zenu ambao mmewapita mana maskini wanakimbilia kwenye sehem nzuri yenye maslahi ila nashangaa nyie mnaojiita matajiri na mpo juu ndo wakwanza kulilia mpewe access kwenda kwa wenzenu ambao mnaona mmewapita Mmexico anakimbilia Marekani sabab wapo juu anajua huko mambo yatanyooka kidogo tabu inakuja kwa Mkenya anapolilia apewe easy acces kuja Tanzania

Hawatufuati kwa ajili ya uzalendo, mwanabiashara au mwekezaji hana cha uzalendo wala nini, yeye hufuata uchapa kazi wa kweli.
 
Hawatufuati kwa ajili ya uzalendo, mwanabiashara au mwekezaji hana cha uzalendo wala nini, yeye hufuata uchapa kazi wa kweli.
Kwikwikwi. Unajibu tu bila hatakuelewa kilichoandikwa. Nyie mpo tz kama wachuuzi tu. Hamna tofauti na house boys toka malawi.
 
Hawatufuati kwa ajili ya uzalendo, mwanabiashara au mwekezaji hana cha uzalendo wala nini, yeye hufuata uchapa kazi wa kweli.
Kama wanawahitaji kweli basi walipe hizo gharama sio blah blah nyingi uingie bure kwan kwa babu yako huku si una uchumi mkubwa lipia hizo work permit au mmezoea mambo yenu ya nipeee mnapenda vya burebure
 
Kama wanawahitaji kweli basi walipe hizo gharama sio blah blah nyingi uingie bure kwan kwa babu yako huku si una uchumi mkubwa lipia hizo work permit au mmezoea mambo yenu ya nipeee mnapenda vya burebure

Huwa hatulipi sisi, waajiri wenu ndio hulipia hivyo vibali. Unakuta anaingia gharama ya kulipia nauli ya KQ, hoteli na hivyo vibali. Mkenya halipi hata shilingi, wewe unayehitaji huduma za mgeni inabidi mwenyewe uingie hizo gharama.

Sasa mara nyingi anakua anahitaji sana utenda kazi wa Mkenya, jinsi anavyojituma lakini gharama za vibali zinakua mahesabu magumu hadi inabidi akwame na nyie humo.
Kwa mfano, unaweza kuta kampuni ya Kitanzania inahitaji mtaalam wa Kikenya aje akwamue issue fulani, hivyo anahitajika kuja na kuishi kwa miezi miine. Hapo inakua shuguli kwa kampuni.
 
Hivi alie wambia kuwa tz wavivu nani?nchi hii ilikuwa haisongi kwa sabab ya corruption, na selfish ya watu wachache lakin sasa tunakimbia 1km/sec
 
Huwa hatulipi sisi, waajiri wenu ndio hulipia hivyo vibali. Unakuta anaingia gharama ya kulipia nauli ya KQ, hoteli na hivyo vibali. Mkenya halipi hata shilingi, wewe unayehitaji huduma za mgeni inabidi mwenyewe uingie hizo gharama.

Sasa mara nyingi anakua anahitaji sana utenda kazi wa Mkenya, jinsi anavyojituma lakini gharama za vibali zinakua mahesabu magumu hadi inabidi akwame na nyie humo.
Kwa mfano, unaweza kuta kampuni ya Kitanzania inahitaji mtaalam wa Kikenya aje akwamue issue fulani, hivyo anahitajika kuja na kuishi kwa miezi miine. Hapo inakua shuguli kwa kampuni.
Sasa si tungelia sisi mbona hii issue sasa mnaolia ni nyie?? Kama tungekua na hio shida zaid yenu sisi ndo tungekua tunawabembeleza mlegeze ila nashangaa sasa nyie ndo mnaolilia ishu ilegezwe wakati nyie ndo hotcake au ndo elimu ya mtandaoni tu mana mnayosema na hali halisi tofaut kabisa mana kipindi kile tu mlivofurumshwa hku mkajazana mitandaoni kulialia mnaonewa sasa we mtaalam gani unaeforce kibarua wakat ulitakiwa ww ndo uwe unahitajika sana hadi upewe special privileges hii kukimbizwa na kuanza kulialia inaonyesha nyie makapuku tu sema kukaa na wazungu huko ndo mnaona labda mkija huku mtaonekana special huku sie sio walamba miguu ya wageni kama nyie usiposomeka sepa tu
 
Sasa si tungelia sisi mbona hii issue sasa mnaolia ni nyie?? Kama tungekua na hio shida zaid yenu sisi ndo tungekua tunawabembeleza mlegeze ila nashangaa sasa nyie ndo mnaolilia ishu ilegezwe wakati nyie ndo hotcake au ndo elimu ya mtandaoni tu mana mnayosema na hali halisi tofaut kabisa mana kipindi kile tu mlivofurumshwa hku mkajazana mitandaoni kulialia mnaonewa sasa we mtaalam gani unaeforce kibarua wakat ulitakiwa ww ndo uwe unahitajika sana hadi upewe special privileges hii kukimbizwa na kuanza kulialia inaonyesha nyie makapuku tu sema kukaa na wazungu huko ndo mnaona labda mkija huku mtaonekana special huku sie sio walamba miguu ya wageni kama nyie usiposomeka sepa tu

Sio nyie mnaolia maana wewe sidhani kama una uwezo wa kumwajiri yeyote. Makampuni ndio yanalalamikia serikali za EAC.
 
Sio nyie mnaolia maana wewe sidhani kama una uwezo wa kumwajiri yeyote. Makampuni ndio yanalalamikia serikali za EAC.
Tatizo lako ni ushamba tu na ulimbukeni. Huna lolote ujualo kuhusu universe. Ungekuwa mtu mwenye akili timamu ingeleta truth information. Zakini sasa hivi unaleta bra bra bra mlizolishwa na mabwana zenu yaali watawala zenu.

My friend TZ is not kenya and also Tanzania is not colonized as you now.
Pumba kabisa.
 
Tatizo lako ni ushamba tu na ulimbukeni. Huna lolote ujualo kuhusu universe. Ungekuwa mtu mwenye akili timamu ingeleta truth information. Zakini sasa hivi unaleta bra bra bra mlizolishwa na mabwana zenu yaali watawala zenu.

My friend TZ is not kenya and also Tanzania is not colonized as you now.
Pumba kabisa.
kwikwikwi!!
 
Wakenya wameanza kuvamia ardhi ya Tanzania, kuna jamaa alisema kuna wakenya wanajihusisha na uuzaji waviwanja chanika na kuna mwingine alisema wananunua mashamba mikoa ya kaskazini hasa Arusha.

Mwigulu Nchemba kazi kwako.
 
Kenya ni ndugu zetu, majirani wetu, Waafrika wenzetu. Mnakaribishwa Tanzania saa yeyote. Tunawapenda sana. Msiwe na hofu.

Bwana Obama alivyokuja kuwatembelea nchini Kenya, tuliona jinsi mlivyomkaribisha kwa furaha sana. Lakini alivyowaambia kuhusiana na suala la "Haki za Mashoga", Wakenya mlisimama msimamo mzuri na kulikataa hilo. Walimpa Bwana Obama kadi nyekundu.

Sasa na sisi pia katika "Suala la Ardhi", pia tunasimama na kusema vizuri na kusema hakuna ardhi kwa Wageni. Kadi Nyekundu. Labda muende Somalia au Ethiopia.
Mtuwie radhi.

Kutoa ardhi kwa Wageni, ni sawa na kumruhusu mgeni alale kitanda kimoja na mke wako.

Sio maadili.
60297389ae4f6b30f97ae4c6d84d1165.jpg


Naona tunazungumzia masuala ya EAC, ni sawa na tunazungumzia kifuu cha nazi. Wakati SADC ndio Tanzania, tuna Mnazi na Madafu yake! Hakuna katika historia ya bara hili kama SADC, organization pekee iliyomuinua, kumuendeleza na kumlinda Mwafrika.
 
Back
Top Bottom